Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Historia ya Obama na Mkewe Michele inaonesha jinsi ambavyo, mwanamke mke wa Rais, kabla ya wadhifa huo alivyokuwa bega kwa bega na mumewe hadi Urais. Hakujali kukaa mama wa nyumbani katika siku za mwanzo za mihangaiko baada ya kuacha uanasheria katika kampuni binafsi na kwenda kuwa mtumishi wa umma.
Kapigania vilivyo na hata hotuba zake zilikuwa za hamasa na zinazoonesha kuwa alikuwa mpiganaji na aliyeelewa mumewe anataka nini.
lakini la salaale hapa Bongo, Mzee BWM alikuwa mseminari asiyejua hata kuuza karanga, Mama wa kichaga akafungua hadi wakafungua Biashara wakiwa Ikulu.
Pia mnakumbuka ya Mzee Ruksa na wakeze, mara Uingereza wakati fulani wakasema tunataka kumjua first lady mmoja siyo kubadili, mnakumbuka ile skandali ya kubadili badili Hotel ili kumuokoa mzee mzima ili first lady asijue maana kalikuwepo kabinti.
Mnafahamu mama muungwana na Taarabu na siku hizi ana kipindi cha Watoto TBC, Je hizi ndizo kazi za First Lady?
Lakini pia msisahahu Kamandoo kule Zenj baada ya kustaafu Ukamandoo wa tende na halua, mama wa kichaga akampiga buti maana alijua ngawira zimekwisha.
Labda yule mama yetu wa Butiama pale naona Break. lakini hawa wengine wanashindana na waume zao kuonekana kwenye luninga.
Kapigania vilivyo na hata hotuba zake zilikuwa za hamasa na zinazoonesha kuwa alikuwa mpiganaji na aliyeelewa mumewe anataka nini.
lakini la salaale hapa Bongo, Mzee BWM alikuwa mseminari asiyejua hata kuuza karanga, Mama wa kichaga akafungua hadi wakafungua Biashara wakiwa Ikulu.
Pia mnakumbuka ya Mzee Ruksa na wakeze, mara Uingereza wakati fulani wakasema tunataka kumjua first lady mmoja siyo kubadili, mnakumbuka ile skandali ya kubadili badili Hotel ili kumuokoa mzee mzima ili first lady asijue maana kalikuwepo kabinti.
Mnafahamu mama muungwana na Taarabu na siku hizi ana kipindi cha Watoto TBC, Je hizi ndizo kazi za First Lady?
Lakini pia msisahahu Kamandoo kule Zenj baada ya kustaafu Ukamandoo wa tende na halua, mama wa kichaga akampiga buti maana alijua ngawira zimekwisha.
Labda yule mama yetu wa Butiama pale naona Break. lakini hawa wengine wanashindana na waume zao kuonekana kwenye luninga.