Fazz
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 362
- 571
Kiukweli huyo bwana mdogo mont alikua n shida ivkuna aliyewez kufanya kam huy had ss??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa hazilazimishwi zinakuja zenyewe, ndo hapo waafrika tunapo feligiBora yako wewe mkuu umenipa moyo wengine wanapita kimya kimya tu no likes no comment..yaani anasoma na kusepa as if nothing happened..! Yaani hujui kama kafurahishwa au hajafurahishwa na nondo...!
Tupeane moyo ili kesho tulete material zaidi.
Asante mkuu kwa encouraging comment.
Best Thread Ukisoma Unaona BadoNitarudi baadae
Mimi ni Artist (self taught) nimemsoma sana Michelangelo na Da Vinci.Sio mchezo mkuu!
Vipi ulishawai kumsikia Michelangelo hapo awali mkuu?
Tamka MICHELANGELOMichael Angelo ni kiboko
Shukran mkuuHii ndio statue ya David yenyewe.View attachment 802083
Mkuu shukrani zikufikie popote ulipo (isipokuwa chooni) aise nimefurahi sana art related articles. May God Bless You. Wewe na mtu mmoja huku anaitwa The Bold mnatuletea vitu adimu sana wakuu nawakubali sana 🤛Bora yako wewe mkuu umenipa moyo wengine wanapita kimya kimya tu no likes no comment..yaani anasoma na kusepa as if nothing happened..! Yaani hujui kama kafurahishwa au hajafurahishwa na nondo...!
Tupeane moyo ili kesho tulete material zaidi.
Asante mkuu kwa encouraging comment.