Miche ya Papai Malkia F1 imegoma kuota

Mtoa hoja, fuata maelekezo yafuatayo ili mbegu ziweze kuota zaidi ya 80%.

Loweka mbegu zako kwenye chombo kidogo kwa muda wa siku 4-5, kila hakikisha unabadilisha maji kwa kumwaga yaliyokuwemo na kuweka mpya.

Siku ya 4 ama tano chukua hizo mbegu zako na kuziweka kwenye kitambaa kilicho na unyevunyevu zifunike. Hakikisha kitambaa ni kinyevu nyevu kwa muda wote wa simu 3 na kuendelea.

Fungua kitamba ili kucheki kama mbegu zimepasuka - ukiona asilimia kubwa zimepasuka basi nenda kuotesha kwenye viriba vyao ulivyoviandaa...

Ushauri huu ni bure, lazima zitaota 80% na zaidi, Ukifanikiwa usiache ku PM utoe ushuhuda.

Nakutakia mafanikio mema.... wanaotaka miche za F1 Malaika tuwasiliane
 
Udongo unaonekana uko compact sn(mfinyanzi) na rahisi kutuamisha maji. Huo sio udongo mzuri kwa mipapai. Inatakiwa udongo tifutifu usiotuamisha maji
 
Udongo unaonekana uko compact sn(mfinyanzi) na rahisi kutuamisha maji. Huo sio udongo mzuri kwa mipapai. Inatakiwa udongo tifutifu usiotuamisha maji
 
Udongo unaonekana uko compact sn(mfinyanzi) na rahisi kutuamisha maji. Huo sio udongo mzuri kwa mipapai. Inatakiwa udongo tifutifu usiotuamisha maji
 
Mtoa hoja, fuata maelekezo yafuatayo ili mbegu ziweze kuota zaidi ya 80%.

Loweka mbegu zako kwenye chombo kidogo kwa muda wa siku 4-5, kila hakikisha unabadilisha maji kwa kumwaga yaliyokuwemo na kuweka mpya.

Siku ya 4 ama tano chukua hizo mbegu zako na kuziweka kwenye kitambaa kilicho na unyevunyevu zifunike. Hakikisha kitambaa ni kinyevu nyevu kwa muda wote wa simu 3 na kuendelea.

Fungua kitamba ili kucheki kama mbegu zimepasuka - ukiona asilimia kubwa zimepasuka basi nenda kuotesha kwenye viriba vyao ulivyoviandaa...

Ushauri huu ni bure, lazima zitaota 80% na zaidi, Ukifanikiwa usiache ku PM utoe ushuhuda.

Nakutakia mafanikio mema.... wanaotaka miche za F1 Malaika tuwasiliane
Nilifanya hivi mkuu ila zikagoma
 
Tafadhari, naomba unipatie picha ya aina iyo ya malkia F1 ambao umekua na umezaa
PichaView attachment 1181408
IMG_20190811_110627_781.jpeg
 
Inazaa Sana kutokana pia na eneo na matunzo yako ,kila siku nazidi kujifunza kuhusu kilimo hiki ila sikiachi ,kinalipa!!!!
Mkuu soko lake vp lipo wapi maana masoko changamoto Sana.. Nataka kulima papai na je ekari moja inaweza pandwa miche mingapi na mapapai kwa mche mmoja na bei yake ya jumla unauzaje.. Na je ww unalimia wapi kiasi gani cha ardhi tupe changamoto unazo kumbana nazo na ss vijana tujifunze.. Nawasilisha
 
Nimelima papai in smal scale, ila haya mambegu ya papai ya F1 ni mabovu kuliko mbegu zetu za asili. Kuna mbegu zetu za asili zinazaa mara 4 ya hizi za F1, zinakuwa fasta, na zinahimili magonjwa sana. Shida ya hizi za asili ni vigumu kutambua dume na jike kabla hazijaanza kutoa maua.
 
Nimelima papai in smal scale, ila haya mambegu ya papai ya F1 ni mabovu kuliko mbegu zetu za asili. Kuna mbegu zetu za asili zinazaa mara 4 ya hizi za F1, zinakuwa fasta, na zinahimili magonjwa sana. Shida ya hizi za asili ni vigumu kutambua dume na jike kabla hazijaanza kutoa maua.
Hizo mbegu za asili zinapatikana wapi kiongozi?
 
Mkuu soko lake vp lipo wapi maana masoko changamoto Sana.. Nataka kulima papai na je ekari moja inaweza pandwa miche mingapi na mapapai kwa mche mmoja na bei yake ya jumla unauzaje.. Na je ww unalimia wapi kiasi gani cha ardhi tupe changamoto unazo kumbana nazo na ss vijana tujifunze.. Nawasilisha
Mimi si mtaalamu lakini kuna makala fulani nilifatilia Hekari moja miche kama 1000, bei ya shamba 500 mpk 1000 inategemea.....
Additional subiri mtaalamu....
 
Mkuu soko lake vp lipo wapi maana masoko changamoto Sana.. Nataka kulima papai na je ekari moja inaweza pandwa miche mingapi na mapapai kwa mche mmoja na bei yake ya jumla unauzaje.. Na je ww unalimia wapi kiasi gani cha ardhi tupe changamoto unazo kumbana nazo na ss vijana tujifunze.. Nawasilisha
Miche nauza 2000 ,soko la matunda ya papai Ni 1500 , changamoto Ni maji ya kumwagilia tu
Ekari moja Miche 1200 Hadi 1000 inategemea na shamba lilivyo kwa maana ya visiki au makorongo


Ushauri zaidi Ni bure 0755404226
 
Miche nauza 2000 ,soko la matunda ya papai Ni 1500 , changamoto Ni maji ya kumwagilia tu
Ekari moja Miche 1200 Hadi 1000 inategemea na shamba lilivyo kwa maana ya visiki au makorongo


Ushauri zaidi Ni bure 0755404226
Asante Sana
 
Nimelima papai in smal scale, ila haya mambegu ya papai ya F1 ni mabovu kuliko mbegu zetu za asili. Kuna mbegu zetu za asili zinazaa mara 4 ya hizi za F1, zinakuwa fasta, na zinahimili magonjwa sana. Shida ya hizi za asili ni vigumu kutambua dume na jike kabla hazijaanza kutoa maua.
Mkuu inategemea na factors nyingi....PH ya udongo, matunzo kwa ujumla (Madawa Mbolea na Umwagiliaji).
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom