Aina gani mkuuNimeona kwa watu wangu wa karibu, unaweza kupanda miche 20 ikapona 2 au 3 na uzaaji wake ni mdogo sana na matunda hayana ubora. Kuna aina ambazo zinakubali ukanda wa pwani
Miche ya embe ipo???Karibu sana Morogoro lakini karibu pia SUA tukuhudumie boss. Tutakuwa bega kwa bega katika kufikia malengo yako.
Ukubwa gani?? Picha tafadhali...nataka nitumanie Mkoaniipo boss
tuna aina 7 tofauti tofauti,karibu sana
umri:Miezi 3Ukubwa gani?? Picha tafadhali...nataka nitumanie Mkoani
Nitakupigiaumri:Miezi 3
Urefu:Cm 45-50
Aina za embe zilizopo
1.Kent
2.Tommy
3.Alphonso
4.Red indian
5.Dodo(kienyeji)
6.Embe tanga
7.Apple mango
Tunafanya derivery mikoani na Tanzania visiwani pia
0719527062/0757056472