INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Miche yake inapatikana? Na inastawi kwenye ukanda gani? na muda gani mpaka uanze kuvuna
Ndio mkuu,miche ya tende tunayo na bei ni sh 3000.
Tende zinastawi zaidi maeneo yafuatayo 1.ukanda wa Joto
2.Mikoa ya ukanda wa bahari ya Hindi
3.Tende inastawi kwenye ardhi yenye rutuba na isiyosimamisha maji
Pia mikoa kama Dodoma,Singida tende zimeleta matokeo mazuri.
Karibu sana
 
Miche yake inapatikana? Na inastawi kwenye ukanda gani? na muda gani mpaka uanze kuvuna
Tende huanza kubeba matunda baada ya miaka 4-5.Lakini matunda huwa tayari kuvunwa baada ya miaka 7-8
 
IMG-20200901-WA0000.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200901-WA0006.jpg
    IMG-20200901-WA0006.jpg
    7.4 KB · Views: 12
Mvua zimerudi tena,ni wakati mzuri wa kupanda miche ya matunda ya muda mfupi.Karibuni sana
 
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.

Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.

Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.View attachment 1557232
Safi mkuu, nitakutafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom