GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Asante Mjuba.U
Sure umeongea point sana mjuba
Asante Mjuba.U
Sure umeongea point sana mjuba
Wanabenza mchango wa maneno.? ... Ok, naahidi nitamalizia hizo 28.Mtu anabeza mchango wa bilioni mbili
Dah....bongo nyoso
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Watu tulitoa hapa michango tena kisomi zaidi lkn tukaonekana tunataka kukwamisha juhudi.Maamuzi ya Simba SC kutaka Kujenga Uwanja wake yalikuwa ni ya Kimihemko ( Kihasira ) zaidi na siyo ya Kiuhalisia.
Saikolojia ya Mashabiki wengi wa Tanzania ( hasa wa Simba na Yanga ) ni Kushangilia na Kubishana ila likija Suala la Michango hakuna utakachokipata zaidi ya Ahadi tu.
Mwisho kilichonishangaza zaidi ni Kitendo cha Mwekezaji Mo Dewji kusema katika Bajeti ya Ujenzi wa Uwanja wa Simba SC ya Tsh Bilioni 30 yeye atachangia Tsh Bilioni 2 tu na hizo Tsh Bilioni 28 zilizobaki akina GENTAMYCINE ambao hata Hela ya Kula tu Kwetu ni Changamoto ( Tatizo ) ndiyo tuchangie.
Kuna Usanii mwingi sana tu Simba SC.