Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 566
- 1,164
Habari za kuchakarika wakuu,
Aisee hapa navyoandika nimeungwa kwenye magroup matatu ya harusi zinazokuja mwisho wa mwaka huu, 1 ni binti ndugu wa ukoo sio immediate family link kwa mababu huko, mmoja ni jamaa nilitinga nae job kabla sijahamia nilipo, mwingine jamaa tumesoma wote high school.
Me nilioa harusi ya kiislam very simple hawakuzidi watu 200 hv vyakula ilikua chai ya maziwa, tende, sambusa, kabab, cookies, kuku za kukaanga na juice za azam embe vichupa vidogo na maji vichupa vidogo na watu wote walikula na kubeba , eneo nyumba ya ndugu yake wife (hatukutaka ukumbi), kwa kifupi nilitoa 2M tu kufanikisha shughuli + mapambo, usafiri.
Kusema ukweli ukiangalia vzuri sku hz watu wanatumia michango kutafuta mitaji or else mana haiwezekani eti unaweka kiwango cha chini labda 100,000/=
Unakuta mtu hamjaongea kitambo hakuna ukaribu unashangaa simu imeita unapewa taarifa! punde umeungwa kwenye group watu wametiririka ma plege.
Mwezi uliopita kuna jamaa mwngine aliniunga kwenye group pledge kiwango cha chini 200,000 nikamwambia me ntakusupport laki akasema poa ila nilibanwa nikatuma 50k nikamwambia ingne ntamalizia. Asee simu zkawa za usumbufu nikawa simpokelei hadi sku naona status kaoa nikampa hongera akanilia buyu blue tick tu. Nikaja kuonana nae town ananipa attitude nkasema safi ndo imeisha hiyo ila najuta ata kwann nlituma 50 yani unamaind kisa sina? Na muda huo najua kabisa washkaji wetu wengine kweny hiyo circle hawakutoa kabisa.
Wadau mnaonaje hv inakuaje u force michango hivyo kwa jambo linalokuhusu ww na huyo mwenzio kwann utuwajibishe watu kutoa ma ahadi ya kishingo upande imradi tu tusigombane wakati hali yenyewe mambo kizungumkuti songombingo mafrekeche ya kutosha.
Kama hujajipanga kuoa si kausha kwanza, watu tuna support ila imekua too much imekua ni shuruti sasa dah, usipotoa unaonekana mbinafsi na haufungamani na jamii.
Sijioni nikiendelea kua mtoa michango sijioni kabisa kwanza in real sense nakuchangia kwenda kukojozana kwenye hotel honeymoon uko... Shabaash,!!
Aisee hapa navyoandika nimeungwa kwenye magroup matatu ya harusi zinazokuja mwisho wa mwaka huu, 1 ni binti ndugu wa ukoo sio immediate family link kwa mababu huko, mmoja ni jamaa nilitinga nae job kabla sijahamia nilipo, mwingine jamaa tumesoma wote high school.
Me nilioa harusi ya kiislam very simple hawakuzidi watu 200 hv vyakula ilikua chai ya maziwa, tende, sambusa, kabab, cookies, kuku za kukaanga na juice za azam embe vichupa vidogo na maji vichupa vidogo na watu wote walikula na kubeba , eneo nyumba ya ndugu yake wife (hatukutaka ukumbi), kwa kifupi nilitoa 2M tu kufanikisha shughuli + mapambo, usafiri.
Kusema ukweli ukiangalia vzuri sku hz watu wanatumia michango kutafuta mitaji or else mana haiwezekani eti unaweka kiwango cha chini labda 100,000/=
Unakuta mtu hamjaongea kitambo hakuna ukaribu unashangaa simu imeita unapewa taarifa! punde umeungwa kwenye group watu wametiririka ma plege.
Mwezi uliopita kuna jamaa mwngine aliniunga kwenye group pledge kiwango cha chini 200,000 nikamwambia me ntakusupport laki akasema poa ila nilibanwa nikatuma 50k nikamwambia ingne ntamalizia. Asee simu zkawa za usumbufu nikawa simpokelei hadi sku naona status kaoa nikampa hongera akanilia buyu blue tick tu. Nikaja kuonana nae town ananipa attitude nkasema safi ndo imeisha hiyo ila najuta ata kwann nlituma 50 yani unamaind kisa sina? Na muda huo najua kabisa washkaji wetu wengine kweny hiyo circle hawakutoa kabisa.
Wadau mnaonaje hv inakuaje u force michango hivyo kwa jambo linalokuhusu ww na huyo mwenzio kwann utuwajibishe watu kutoa ma ahadi ya kishingo upande imradi tu tusigombane wakati hali yenyewe mambo kizungumkuti songombingo mafrekeche ya kutosha.
Kama hujajipanga kuoa si kausha kwanza, watu tuna support ila imekua too much imekua ni shuruti sasa dah, usipotoa unaonekana mbinafsi na haufungamani na jamii.
Sijioni nikiendelea kua mtoa michango sijioni kabisa kwanza in real sense nakuchangia kwenda kukojozana kwenye hotel honeymoon uko... Shabaash,!!