Michango ya Changia Lowassa iliishiwa wapi?

CONSTRUCTIVE THOUGHT

JF-Expert Member
Jul 10, 2015
1,158
414
Amani iwe nanyi!

Wapendwa Watanzania wenzangu naimani sote tunakumbuka kuwa Mh. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward lowassa, aligombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananch (UKAWA).

Katika jitihada za kuongeza nguvu kifedha ili Mh. Lowassa ashinde Uchaguzi, Watanzania wote tuliokuwa tayari kumuunga mkono Mgombea, tuliombwa kumchangia Mh. kwa kutuma pesa kupitia mitandao ya simu mfano TIGEO. Mimi nilikuwa ni mmoja kati ya watu tuliotoa huo mchango japo hatukufanikiwa mgombea wetu kushinda.

Baada ya Uchaguzi, nilitarajia kupata ufafanuzi wa mapato na matumizi ya pesa hizo za mchango lakini cha ajabu hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa na CHADEMA au Lowassa mwenyewe ikiwa ni sehemu ya kuwajulisha na kuwashukuru wote waliotoa mchago huo.

Nauliza kwa nia njema, ivi hiyo michango ilienda wapi? Kama ilitumika katika Uchaguzi, iliobaki ipo wapi?
 
Huyu mtu alipanga ziara za kuwashukuru wananchi mara baada ya uchaguzi, lakini amri ya kumzuia na CDM ilitoka . Je ulitaka aelezee wapi kama anapigwa marufuku kuwasiliana na wananchi ?!

Pili CDM kama chama kinawajibika kwa Msajili wa vyama vya siasa nenda huko utakuta mahesau hata yale ya ccm.
Mkuu mbona baadhi ya taarifa huwa wanatoa kupia vyombo vya Habari? Sio lazima mikutano.
 
Amani iwe nanyi!

Wapendwa Watanzania wenzangu naimani sote tunakumbuka kuwa Mh. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward lowassa, aligombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananch (UKAWA).

Katika jitihada za kuongeza nguvu kifedha ili Mh. Lowassa ashinde Uchaguzi, Watanzania wote tuliokuwa tayari kumuunga mkono Mgombea, tuliombwa kumchangia Mh. kwa kutuma pesa kupitia mitandao ya simu mfano TIGEO. Mimi nilikuwa ni mmoja kati ya watu tuliotoa huo mchango japo hatukufanikiwa mgombea wetu kushinda.

Baada ya Uchaguzi, nilitarajia kupata ufafanuzi wa mapato na matumizi ya pesa hizo za mchango lakini cha ajabu hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa na CHADEMA au Lowassa mwenyewe ikiwa ni sehemu ya kuwajulisha na kuwashukuru wote waliotoa mchago huo.

Nauliza kwa nia njema, ivi hiyo michango ilienda wapi? Kama ilitumika katika Uchaguzi, iliobaki ipo wapi?
ULISHIA BADA YA UCHAGUZI MBONA SWALI LEPESI HATE MTOTO WA CHEKECHEA ANALIJUA HILO
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom