Michango inayojirudia rudia kwenye post nyingi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,553
44,722
Ni kama watu wamekariri. Au wameiga na Sasa unaweza kuona kila thread haikosi comment ya namna hio
1.weka picha
2.subiri waje/wanakuja
3 .Basi sawa
4.hahahahah
5. Tafuta kazi ya kufanya
6.shuleni mlikwenda kusomea ujinga
7.shule zimefungwa mnapost ujinga
8.hakuna cha kujadili
9.ulitumia kinga?
10.haya kachukue buku saba zako fasta
11.nafasi za UTEUZI bado ZIPO?
12.be first to reply
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom