MICHAKATO - Tamthilia Mpya - Clouds TV

Jul 14, 2008
1,820
1,031
Tamthilia ya MICHAKATO inaonyeshwa CLOUDS TV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 2.00 Usiku na kurudiwa kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 5.00 Asubuhi.

Tamthilia hii ya MICHAKATO ni Mahususi kwa jailli ya Kuburudisha na Kuelimisha jamii.

Tamthilia hii inaigiza Michakato mbalimbali ambayo kila mtu anaipitia ili kufikia ngazi fulani ya maisha. Inakusudia kuonyesha Matatizo ambayo kila mtu anakabiliana nayo, Changamoto anazokutana nazo, na namna anavyotatua matatizo husika na hatimaye mafanikio yake baada ya kutatua tatizo husika. Hii yote inawakilishwa na neno MICHAKATO. Michakakato hii katika Tamthilia inawakilishwa na familia tofauti kama ilivyo katika maisha maisha halisi: Familia za maisha ya chini, familia za maisha ya kati, na familia za maisha ya juu.

Hata hivyo mwisho wa Tatizo moja ni Mwanzo wa Tatizo jingine. Hivyo basi Watazamaji wanapata Fursa ya kuona Michakato halisi ya Maisha na jinsi inavyobadilika katika kila hatua.

Katika kufikisha jumble husika, stories mbalimbali zinawakilishwa nyingi zikiwa za kweli huku zikiwa na visa vya namna mbalimbali vinavyoingiliana katika familia husika na hivyo kuleta burudani na kuelimisha. Kizuri zaidi inaelimisha na kutoa hamasa kuwa katika maisha kila kitu kina ufumbuzi wake na hivyo watazamaji wengi kweza kufurahia na kuelimika.

Tamthilia inaweza kuangaliwa na watoto wa rika zote japo kwa uzoefu watu wa kuanzia umri wa miaka 13 na kuendelea wanatarajiwa kuangalia zaidi hadi miaka 65+.

Waigizaji wote waliochaguliwa ni mahiri na wazoefu wa hali ya juu na wenye nidhamu. Isitoshe wana uwezo wa kufanya kazi usiku na mchana kukimbizana na ratiba ya vipindi. Kuna mfumo tumeujenga zaidi badala ya kutegemea mtu.
 
Sijaona tofauti ya Siri za familia,Maisha ya bongo,na iyo michakato waigizaji wale wale maidhui yale yale
 
Sijaona tofauti ya Siri za familia,Maisha ya bongo,na iyo michakato waigizaji wale wale maidhui yale yale

Siri za Familia imejikita kwenye True Stories Tu tunazoletewa zikihusisha Siri latina familia Mbalimbali
Maisha ya Bongo inahusisha harakati za Maisha ya Kawaida ya Nyumbani na Ofisini katika Kada mbalimbali
Michakato inahusisha Utatuzi wa Changamoto za Maisha katika kada mbalimbali na level mbalimbali.

Waigizaji wa Michakato more than 80% ni tofauti na wa Siri za Familia.
 
Tamthilia ya MICHAKATO inaonyeshwa CLOUDS TV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 2.00 Usiku na kurudiwa kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 5.00 Asubuhi.

Tamthilia hii ya MICHAKATO ni Mahususi kwa jailli ya Kuburudisha na Kuelimisha jamii.

Tamthilia hii inaigiza Michakato mbalimbali ambayo kila mtu anaipitia ili kufikia ngazi fulani ya maisha. Inakusudia kuonyesha Matatizo ambayo kila mtu anakabiliana nayo, Changamoto anazokutana nazo, na namna anavyotatua matatizo husika na hatimaye mafanikio yake baada ya kutatua tatizo husika. Hii yote inawakilishwa na neno MICHAKATO. Michakakato hii katika Tamthilia inawakilishwa na familia tofauti kama ilivyo katika maisha maisha halisi: Familia za maisha ya chini, familia za maisha ya kati, na familia za maisha ya juu.

Hata hivyo mwisho wa Tatizo moja ni Mwanzo wa Tatizo jingine. Hivyo basi Watazamaji wanapata Fursa ya kuona Michakato halisi ya Maisha na jinsi inavyobadilika katika kila hatua.

Katika kufikisha jumble husika, stories mbalimbali zinawakilishwa nyingi zikiwa za kweli huku zikiwa na visa vya namna mbalimbali vinavyoingiliana katika familia husika na hivyo kuleta burudani na kuelimisha. Kizuri zaidi inaelimisha na kutoa hamasa kuwa katika maisha kila kitu kina ufumbuzi wake na hivyo watazamaji wengi kweza kufurahia na kuelimika.

Tamthilia inaweza kuangaliwa na watoto wa rika zote japo kwa uzoefu watu wa kuanzia umri wa miaka 13 na kuendelea wanatarajiwa kuangalia zaidi hadi miaka 65+.

Waigizaji wote waliochaguliwa ni mahiri na wazoefu wa hali ya juu na wenye nidhamu. Isitoshe wana uwezo wa kufanya kazi usiku na mchana kukimbizana na ratiba ya vipindi. Kuna mfumo tumeujenga zaidi badala ya kutegemea mtu.
Kwa maoni yangu, a deserving farewell kwa member wetu yoyote, aliyetangulia mbele ya haki ni kumuaga kupitia maandishi yake, threads zake ili kujikumbusha mawazo yake, maneno yake na matendo yake tukiendelea kuishi Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

RIP Comred Santus Mtsimbe, maandishi yako humu JF, yatakuishi milele!.

Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.

Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom