Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Katika Kijiji cha Makilawa, Kata ya Makilawa Jimbo la Singida Magharibi, Wananchi Wanakamatwa na Wanaliplpishwa Shs. Laki Moja (100,000/-) kila Mmoja kuchangia Ujenzi wa Sekondari.
Muda huu Wananchi wengi wamekamatwa Wakiwemo akinamama na Wamefungiwa kwenye Ofisi za Kijiji hadi Walipe kiasi hicho ndo waachiwe.
Na wanafunzi wanaendelea kuchangia Madawati na Michango mingine ya kijinga, licha ya Agizo la Rai Magufuli kuwa hakuna Michango Mashuleni.
Wanaambiwa Lissu hayupo, sasa Ikungi ni Kazi Tu Watachanga hadi Wakome.
==========
Mods msaada please...Isomeke Ikungi badala ya MichaIkungi
Muda huu Wananchi wengi wamekamatwa Wakiwemo akinamama na Wamefungiwa kwenye Ofisi za Kijiji hadi Walipe kiasi hicho ndo waachiwe.
Na wanafunzi wanaendelea kuchangia Madawati na Michango mingine ya kijinga, licha ya Agizo la Rai Magufuli kuwa hakuna Michango Mashuleni.
Wanaambiwa Lissu hayupo, sasa Ikungi ni Kazi Tu Watachanga hadi Wakome.
==========
Mods msaada please...Isomeke Ikungi badala ya MichaIkungi