BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Ndugu wapendwa
nilikuwa na baadhi ya wajumbe wa tff leo
katika story zao walikuwa wameanza kuongelewa posn ya ukatibu mkuu ambayo
kwa kweli kwa jinsi walivyomwongelea michael wambura nartajia kuongezwa kwa familia nyingine ya wambura pale tff
si haba nakutakia kila la kheri michael
nilikuwa na baadhi ya wajumbe wa tff leo
katika story zao walikuwa wameanza kuongelewa posn ya ukatibu mkuu ambayo
kwa kweli kwa jinsi walivyomwongelea michael wambura nartajia kuongezwa kwa familia nyingine ya wambura pale tff
si haba nakutakia kila la kheri michael