Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
Breaking news! Michael Richard Wambura aondolewa kwenye uchaguzi wa Simba.
stay tuned for more updates!
---------------------
stay tuned for more updates!
---------------------
Sababu ni kwamba alishawahi kuvuliwa uana chama na klabu hiyo na kwamujibu wa Damas Ndumbaro (Dkt) imebainika kwamba haikuwahi kufanyika kikao "halali" kilicho mrejeshea uana chama wake..sio maneno yangu bali ni ya M/Kiti kamati ya Uchaguzi Simba niliye mtaja hapo ..alipokua akiongea na wanahabari mapema leo!