Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,018
- 26,330
Nafikiri anagundu akaoge maji ya bahari ha ha ha ha ha
Breaking news! Michael Richard Wambura aondolewa kwenye uchaguzi wa Simba.
stay tuned for more updates!
Ana tatizo gani kwani mpaka wamuondoe?
Sababu ni kwamba alishawahi kuvuliwa uana chama na klabu hiyo na kwamujibu wa Damas Ndumbaro (Dkt) imebainika kwamba haikuwahi kufanyika kikao "halali" kilicho mrejeshea uana chama wake..sio maneno yangu bali ni ya M/Kiti kamati ya Uchaguzi Simba niliye mtaja hapo ..alipokua akiongea na wanahabari mapema leo!
Nafikiri anagundu akaoge maji ya bahari ha ha ha ha ha
Huwa naumia jinsi wambura anavyonyanyaswa. niliwahi kumsikiliza wakati wa rufaa yake ya TFF niliamini ni jembe la mpira ila kunawanaojua uwezo wake ndo maana wanamkaba mapema maana uwezo alionao akipewa nafasi kuna watu watasahau kuchaguliwa maana yeye yuko juu KIUELEWA.
Kwa. kumsaidia tu wambura hana chaka...ukisoma katiba ya simba kuna kipengele kinasema"iwapo mwanachama atasimamishwa na mkutano mkuu,atasubili kikao kijacho ili kimjadili iwapo aendelee kua mwanachama ama la asubilie baada ya miaka miwili ili aombe upya kua mwanachama...sasa kilicho tokea kwa wambura no kua kipindi kile alivyo simamishwa na simba kwa kuipeleka klabu mahakama hicho kikao kinachosemwa kitakacho fata akijawai kukaa kumjadili waambura kwa maana hyo sio mwanachama wa simba mpaka pale mkutano mkuu utakapo kaa..ili pingamizi ni sahihi kabisa...namshauri wambura anitafute kwenye rufaa yake nimsaidie kama huwa anapita hapa.. kuna sehemu kuna ka roop hole kadogo tu katako mtoa na kumweka huru na nina uhakika ata alale anasoma katiba ya simba kamwe atakaona..
Ivi mkurya na mpira wapi na wapi jamani?
Wana jamvi ni Jana mgombea urais ktk klub ya simba,ndugu Michael Wambura amekatwa jina lake kwa visingizio chungu mbovu,hii inaonyesha kuwa huyu mtu Ana siri mzito juu ya michezo ktk soka letu hapa Tanzania.
hako ka loop hole wewe uliweza kukaonaje hadi yeye ashindwe?
George Masatu alikuwa kabila gani mkuu?