Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
- Thread starter
- #221
HaahhahahahahahaHii miwani inauzwa sh 5000,kumbe masters wanavaaga vitu cheap
HaahhahahahahahaHii miwani inauzwa sh 5000,kumbe masters wanavaaga vitu cheap
Ni yeye sema unazozionaga ni wanamuedit sanaNadhani hii ni editing
Utajuaga we mwenyewe na maisha yako, kubishana na wewe mtu usie kuwa na busara naona kama nazidi kujishusha, we endelea na maisha yako yoyote unayo yaona yanakufaa kwenye huu ulimwengu we ni mtu mzima.
Vipi na hiyo video aliyotupia BAK, Pia wamemuedit au?Ni yeye sema unazozionaga ni wanamuedit sana
Safi sana mkuu BAK
Ni ajabu kuona eti binadamu mmoja anamdhihaki binadamu mwingine kua eti ni mzee!!
Hiyo ni safari ambayo wote ndio tuendako huko kama Mungu atatujaalia uhai mrefu,
Hizi chuki hazijengi,tufanye kazi na kutafuta good life,ukisha mdhihaki binadamu mwenzio tena eti kwa uzee unafaidika nini? Unakua na maisha mazuri?
Huyo unayemdhihaki anahasarika kitu?! Unaweza ukawa na muonekano mbaya kwasababu nyingi tu hata kama umri wako ni mdogo,mfano maradhi,ajali na mengineyo,
Kila binadamu anayo haki ya kuheshimiwa ndani ya jamii,
Ukitaka kuheshimiwa kwanza jiheshimu kisha heshimu wenzako.
Ahahahahahahahahah missa mimi
Mzima wa afyaYep, vipi domo hajambo?
duuuuhh "" nimeshakuwa Dogo "" thawa brother"" but hapa tunachangamsha genge tu "" hakuna ambaye yupo serious '' nashangaa kuona kuna wengine wamepanic kisa tu zari kasemwa"" huo Ni uzwazwa
Mzima wa afya