Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,705
- 4,739
Nyie watu wa darisalama tujuzeni wenzenu wa mkoani.,uyo maiko jakisoni ni mwanamuziki piya??na yeye kaitwa kwenye lisiti ya madawa ya kulevya???mbona kama na yeye anafanana na manjii ,anaundugu nayee?
Tujuzeni tafadhali.
Mimi sio wa darisalama ila ni hivi huyu maiko jakisoni ni muuza sembe na dona duka lake liko ipamalima pale darisalamu ila anaimbaga zamani kama izugwandama, maiko hajaitwa kwenye list ya makonda.
Hafanani na manji ingawa sijawahi kumuona sura ila nasikiaga anafanana na christabelly ingawa sijui kama ana undugu naye