WilsonKaisary
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 392
- 946
Baadhi ya mipango hiyo ni
- Aliajiri madaktari 12 ambao walikuwa wanampima kila siku kuanzia nywele hadi kucha za vidole vya miguu
- Chakula chake kila siku kilikuwa kinaenda fanyiwa majaribio na kupimwa kabla ya kula
- Aliajiri watu 15 ambao walikuwa wanampangia ratiba ya mazoezi na kumsimamia namna bora ya kufanya mazoezi
- Kitanda alichokuwa analalia kilikuwa na teknolojia ya kuthibiti oxygen
- Waliandaliwa watu maalum kwa ajili ya kumtolea vitu ndani ya miili yao kama vikiitajika kwa mfano figo .....na watu hao walikuwa wakilindwa na kuhifadhiwa na yeye
- Hizo zote zilikuwa jitihada na mipango ya kuishi miaka 150
-Mwaka 2009 tar 25 mwezi wa 6 ...moyo wake ulisimama ghafla kufanya kazi .....madaktari wake 12 walishindwa kumtibu
-Wakaongezwa madaktari wengine mabinhwa kutoka California na Los Angels lakini pia walishindwa
-Mtu ambaye kila hatua aliyokuwa anaipiga iliongozana na jopo la madaktari bingwa 12 Kwa miaka 25 mfululizo .....lengo lake ni kutaka kuishi miaka 150 lakini alishindwa licha ya jitihada zake
-Tar hiyi 25 mwezi wa 6 mwaka 2009 Michael Jackson alifariki dunia akiwa na miaka 50 TU
TUNAISHI KWA MIAKA TULIYOKADIRIWA NA MUNGU....HATA TUKIFANYA VIPI MUNGU AKIPENDA KUMCHUKUA MJA WAKE HAKUNA KITAKACHOSAIDIA.