Mwita Matteo
JF-Expert Member
- May 16, 2010
- 216
- 55
Mimi hapa kwa sababu sio mtaalamu wa mambo ya kiufundi na usalama wa Meli naomba leo niongelee hawa waokoaji walio letwa kutoka Afrika ya Kusini.
Ilipozama MV. Bukoba mwaka 1996 nikiwa form two, walikuja wataalamu wa "uokoaji" au tuite search team, kutoka Afrika ya Kusini. Mimi ni kijua baada ya tukio lile kubwa lilotia simanzi kutokea basi Askari wetu wangepewa mafunzo ya vile, ili tena tukio kubwa la vile likitokea mara moja vikosi vyetu vina respond.
Juzi tena baada ya ngudu zetu kupata maafa mazito kama yale tunaambiwa tena vikosi kutoka Afrika kusini vinasubiriwa. Jamani tujkifunze kujipanga hii ni Aibu kwa Taifa kama letu.
Ilipozama MV. Bukoba mwaka 1996 nikiwa form two, walikuja wataalamu wa "uokoaji" au tuite search team, kutoka Afrika ya Kusini. Mimi ni kijua baada ya tukio lile kubwa lilotia simanzi kutokea basi Askari wetu wangepewa mafunzo ya vile, ili tena tukio kubwa la vile likitokea mara moja vikosi vyetu vina respond.
Juzi tena baada ya ngudu zetu kupata maafa mazito kama yale tunaambiwa tena vikosi kutoka Afrika kusini vinasubiriwa. Jamani tujkifunze kujipanga hii ni Aibu kwa Taifa kama letu.