Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,981
- 103,354
Unaweza kuniambia mahali chama ambapo hakina mbunge wala diwani wanawezaje kufanya siasa ili kupata wanachama wapya?
Huwezi ukatuambia JK alikuwa wa hovyo kuliko Ben ukiwa na mawazo huru kichwani pasipo kuwa na chuki yeyote..
Huwezi ukatuambia Nyerere na Mwinyi walikuwa ni bora halafu ukatuambia JK alikuwa wa hovyo pasipo chuki yeyote..
Tunaposema fulani alikuwa wa hovyo kwenye nafasi fulani bila shaka tunamajibu kuna fulani alitumikia nafasi hiyo kwa ubora wa hali juu.. Toka uhuru Tanzania chini ya CCM haikuwa kupata Rais bora kwa kuangalia vigezo vyenye umuhimu kwenye nafasi ya Urais, Nyerere tunampa tu heshima kama mzee wetu lakini ukweli pasipo unafiki alishindwa kufanya yale ya muhimu kwa maendeleo ya Taifa zaidi ya kujijengea heshima binafsi na ndoto za kuwa Rais wa Africa kwa kufanya yale yenye manufaa ya kisiasa kwake..
Ya awamu ya pili na ya tatu kila mtu timamu anayajua tena afadhali ya huyo Mzee Mwinyi maana alikabidhiwa nchi ikiwa na hali mbaya lakini Ben hapana tusiwe wanafiki JK anastahili credit kubwa sana vs waliomtangulia..
Hivi unafahamu JK alijenga KM nyingi za barabara kuliko Marais wote waliomtangulia ukiunganisha, hivi unafahamu JK aliacha MW nyingi za umeme kuliko waliomtangulia ukiunganisha, idadi ya vyuo vikuu vilivyojengwa, hospitali kubwa za rufaa Benjamini mkapa dom na mloganzila na taasisi ya moyo KWELI UNAMUITA HUYU WA HOVYO..
Naunga mkono hojaaa....Magufuli ametisha sanaa. Nashukuru Kikwete kuruhusu JPM apite kwenye vikao vya juu vya teuzi za chama CCM na kuwa rais wetu.Hapa wala si mambo ya kuhukumu kiongozi baada ya kumaliza muda wake..mambo yote yako wazi kwa nini utathmini baada ya miaka 10 wakati miaka hii 3 tu imefunika miaka 10 ya yule aliyetangulia??? Kwanza habari ya REA aliyebuni kuleta huo mpango ni Mkapa, hizo barabara unazosema hata kama ni nyingi vyovyote vile..kama zinajengwa chini ya kiwango ni sawa na bure..na hilo ndilo linaondoa sifa zote nzr za seikali awamu ya 4, hakuna umakini, wizi na ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka, uzembe na utegemezi wa kiwango cha juu..huwezi jenga nchi na mentality attitude za hivi..SAHAU! unasema TANESCO kujengewa uwezo kumiliki vyanzo vya kufua nishati..unaelewa unachosema kweli, kipindi waziri wa nishati karamagi anasafiri na mihuri kwenda london kuuza rasilimali na kufunga mikataba ya wizi ndiyo kujengea uwezo TANESCO??? Kilichotokea mambo ya richmond ndiyo kujengea uwezo TANESCO??? madeni yote ya TANESCO uliza yalikuwa makubwa awamu gani??? watu wanatengeneza uhaba wa umeme makusudi ili wauzie serikali umeme, maji yanatumiwa vibaya mtera na kidatu ili watu wauzie serikali umeme...na kiongozi mkuu yupo hana habari kabisa juu ya hujuma km hizi!! Hizo hospitali umetaja ndiyo kipaumbele kuboresha sekta ya afya??? unajenga JKHI wakati wamama wanajifungulia watoto chini sakafuni, kama siyo laana hiyo ni nini?? au wanalazwa mzungu wa nne ndio sawa hivyo?? mwenzake wa sasa vituo vya afya zaidi ya 300 vipya vinajengwa vikiwa na huduma zote za msingi hasa za mama na mtoto, na hayo ndiyo yanahitajika kuinua sekta ya afya nchi kama hii..Hiyo elimu unayosema unajenga UDOM nani atafika UDOM km huku chini kuko ovyo???shule karibu zote za sekondari za serikali zilikuwa hoi bin taabani kimiundo mbinu..majengo yalikuwa yamechakaa, mabweni yanavuja, library zilikuwa zmebaki jina tu..unajenga vyuo unaacha kule wanatokea wafike huko juu??kipaumbele gani cha namna hiyo kama si bora kufanya ili ionekane angalau tumefanya!! sasa hivi ndani ya miaka hii 3 shule zote za sekondari za serikali zimefanyiwa ukarabati mkubwa majengo yamerudi kuwa mapya tena ili watoto wasome kwenye mazingira yanayostahili elimu kutolewa..Lakini mbaya zaidi kujenga tabia ya wizi, uzembe, kutowajibika, ulalamishi na utegemezi..kweli utajenga taifa imara lenye watu wa tabia za hivi..angeendelea kidogo tu nchi ingerudi utumwani tena! si lazima uwe kama ule wa enzi kabla ya uhuru lakini utumwa mamboleo..nchi inaongozwa na kundi dogo la watu wanaoishi ughaibuni! unasifu safari za watu kwenda china unaelewa maana yake?? unageuza nchi yako kuwa BAZAAR COUNTRY halafu unaona umepiga hatua?? huo si ni ujuha..Mwisho..pamoja na safari zote hizo ndani ya miaka 10 unaweza kuonyesha, viwanda au uwekezaji wowote hasa kwenye sekta zinazoajiri watu wengi nchini, kilimo au hata utalii ulifanyika kama zao la safari hizo..ukitaja hata miradi 3 tu, yote niliyoandika nayafuta!!!
Duhh " Umeongea vyema sana mkuu... AsanteMaendeleo ya kwanza kwa binadamu ni uhuru wake, hivyo magufuli haamini kwenye haki za binadamu na uhuru wake hafai kabisa kuwa rais
Magufuli ameongeza umasikini nchini badala ya kuupunguza
Magufuli ameongeza deni la taifa maradufu bila kujua hizo pesa anakopa na kupeleka wapi ikiwa kila miradi mikubwa tunaambiwa ni fedha zetu za ndani
Magufuli hapambani na ukosefu wa ajira nchini
Magufuli anatengeneza nchi ambayo imegawanyika kiitikadi za kisiasa tofauti na kipindi cha Kikwete ambapo hali angalau ilikuwa siyo mbaya kama sasa
Kwa kifupi magufuli ni bomu haswa kuliko Kikwete, huyu hafai hata kuwa mkuu wa familia
Mnaomchukia Kikwete na kumuona magufuli ni bora ni wajinga sana maana hamjui shida ambazo Watanzania wanazipata awamu hii kuliko awamu ya Kikwete
Kikwete alikuwa mbovu sana ila kwa huyu Magufuli ni bora ya Kikwete
Ni sawa na kufananisha jambazi na kibaka ambapo ni bora kibaka kuliko jambazi, maana jambazi yeye hana utu yuko tayari kuua ili mambo yake binafsi yaende
Rais asiye heshimu misingi ya katiba na sharia zake alizoapa kuzilinda na bado unamuona anafaa kuwa rais ni bora ukawahi matibabu ya akili kabla ya hali kuwa mbaya zaidi
Laiti kama mngejua kuwa tatizo ni #ccm..!!
Mle kila mtu ana choyo.. mle kila mtu anataka kula tena ale kumzidi mwananchi na wengineo wote ndani ya chama..!!
Mle hata akiingia malaika leo.. lazima mabaya yake yatatamalaki..!!
Mle kumeoza...!!
Ukiwemo lazima unuke shombo..!!
Njia pekee ya kujua rais wanayemtaka watanzania ni uwepo wa Tume huru ya uchaguzi,vinginevyo ni hadaa tupu.
Tutaendelea kuwekewa watu tukiaminishiwa tumechagua sisi.
Kwa sehemu tu,Rejea Jecha na tume yake Zanzibar.
Hahaha jamii inayo tembea na nini mfukoni !!? Dahh hahaGuDume, ni vigumu sana kupata MTU mwenye sifa za kiongozi mzuri katikati ya ya jamii ya watu wasio na sifa nzuri.
Jamii yetu imekosa watu, INA mijitu.
Jamii inafikiria kuiba na kujilimbikizia Mali, jamii ya watu wavivu wasiotaka kujituma, kutafakari kwa kina na kuwajibika, jamii yenye watu wanaotembea mifukoni na vumbi la Congo badala ya vitabu.
Hili ni taifa la watu wasiojua wanataka nini na hafakirii taifa litakuwa wapi baada ya vizazi vitano vijavyo.
Huwezi ukatuambia JK alikuwa wa hovyo kuliko Ben ukiwa na mawazo huru kichwani pasipo kuwa na chuki yeyote..
Huwezi ukatuambia Nyerere na Mwinyi walikuwa ni bora halafu ukatuambia JK alikuwa wa hovyo pasipo chuki yeyote..
Tunaposema fulani alikuwa wa hovyo kwenye nafasi fulani bila shaka tunamajibu kuna fulani alitumikia nafasi hiyo kwa ubora wa hali juu.. Toka uhuru Tanzania chini ya CCM haikuwa kupata Rais bora kwa kuangalia vigezo vyenye umuhimu kwenye nafasi ya Urais, Nyerere tunampa tu heshima kama mzee wetu lakini ukweli pasipo unafiki alishindwa kufanya yale ya muhimu kwa maendeleo ya Taifa zaidi ya kujijengea heshima binafsi na ndoto za kuwa Rais wa Africa kwa kufanya yale yenye manufaa ya kisiasa kwake..
Ya awamu ya pili na ya tatu kila mtu timamu anayajua tena afadhali ya huyo Mzee Mwinyi maana alikabidhiwa nchi ikiwa na hali mbaya lakini Ben hapana tusiwe wanafiki JK anastahili credit kubwa sana vs waliomtangulia..
Hivi unafahamu JK alijenga KM nyingi za barabara kuliko Marais wote waliomtangulia ukiunganisha, hivi unafahamu JK aliacha MW nyingi za umeme kuliko waliomtangulia ukiunganisha, idadi ya vyuo vikuu vilivyojengwa, hospitali kubwa za rufaa Benjamini mkapa dom na mloganzila na taasisi ya moyo KWELI UNAMUITA HUYU WA HOVYO..
Mleta mada umetembelea kwenye chaki vizuri sana, makosa yalianza kwenye mchakato wa urais kweny kipind cha Mkapa wakt anamaliza muda wake. Laiti kile kijiti angepatiwa Dr. Salim Ahmed Salim hakika tusingekuwa na uozo huu tulionao. Mimi namlaumu Ben na Hendisamu kwa haya yote waliyotuachia wameyataka wao
Japo Jpm kidogo huwez mlinganisha na aliyepita.