Huyu mama nilikuwa namuona akiwa kiongozi SADC lakini miaka yote hiyo nilijuaga sio mbongo, Nimeshangaa kuona jina lake kwenye uteuzi leo.
Au sio huyu wakulungwa?
Duh!,kwaiyo ni mtu kutoka kanda pendwa,,haya ngoja tuone lawama za wakulungwa.Ni mzaliwa wa Magu,Baba mzungu Mama mhaya,Mama yake alikuwa mwalimu,kwa wenyeji wa Magu amejenga pale juu nyuma ya ofisi za elimu Ile nyimba ya tofali za kuchoma,
Basi ndo mana..miaka 5 kaka
Ni Magu, siyo ShinyangaMsukuma wa Shinyanga
Baba yake anatokea Ubeberuni kama alivyokuwa Hayati Mwamba Hans Pope
Naombeni cv yake
Sio mgeni kwenye system Soma uzi vizuri .wakati wa JK aliwahikuwa katibu mkuu kwenye wizara za JK.Wasi wasi wangu ni ugeni alio nao kwenye systeam na hio wizara Nyeti aliopewa.
Baba Mzungu mama Mhaya, usukuma kautoa kwa baba labda au kwakuwa kazaliwa Magu na anaongea kisukuma?Ni msukuma wa Magu huyo mwenye asili ya uturuki.Kaolewa na nshomile mmoja.Yeye hasa hujitambulisha msukuma na kisukuma hukigonga fresh tu na hufurahia sana
Nadhani wewe ndo si mbongo. Huyu dada kazaliwa Magu na ni chotara wa kisukuma mpole na mlimbwende tu japo miaka inaenda. Sijui kama kaolewa au kazalishwa.Huyu mama nilikuwa namuona akiwa kiongozi SADC lakini miaka yote hiyo nilijuaga sio mbongo, Nimeshangaa kuona jina lake kwenye uteuzi leo.
Au sio huyu wakulungwa?
Mkuu pale karbu karbu ni idara ya Maji? Maeneo ya itumbuli?Ni mzaliwa wa Magu,Baba mzungu Mama mhaya,Mama yake alikuwa mwalimu,kwa wenyeji wa Magu amejenga pale juu nyuma ya ofisi za elimu Ile nyimba ya tofali za kuchoma,
Mbn bongo wako wengiBaba yake anatokea Ubeberuni kama alivyokuwa Hayati Mwamba Hans Pope
Alikuwaga mchepuko wa Magufuli kabla jamaa hajawa Rais,nadhani walifundisha wote Secondary ya Lake.Hilo jina kaka nikajuaga mtu wa uswatini huko, wengine siasa hatufatiliani tunaweza kukaa miaka hata baadhi ya mawaziri wasio maarufu tusiwajue kabisa
😲😲🤣🤣🤣Huyu mama nilikuwa namuona akiwa kiongozi SADC lakini miaka yote hiyo nilijuaga sio mbongo, Nimeshangaa kuona jina lake kwenye uteuzi leo.
Au sio huyu wakulungwa?