MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,166
Katika kipindi cha miaka 30 ya vyama vingi, tumetumia mabilioni ya pesa za walipa kodi ili kusaidia vyama ambavyo vingine haviko tena mitaani. Vingine vipo kama maboya tu ya kupitishia ajenda za watawala. Kwa umri huu vyamna hivi vinatakiwa vijisimamie. Ni aibu kuendelea kuwa na wacheza siasa wengi kuliko hata madaktari tiba tulionao nchini.
Ni wakati sasa Bunge liondoe sheria ya ruzuku. Ondoeni ruzuku ili tujue nani anaweza kusimama peke yake kwa niya yake njema. CCM pia wasitumie nafasi ya serikali kuchota pesa za bajeti kama wanavyofanya huko kwenye serikali za mitaa.
Ni wakati sasa Bunge liondoe sheria ya ruzuku. Ondoeni ruzuku ili tujue nani anaweza kusimama peke yake kwa niya yake njema. CCM pia wasitumie nafasi ya serikali kuchota pesa za bajeti kama wanavyofanya huko kwenye serikali za mitaa.