Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
- Thread starter
- #21
CCM is not goodmimi sio mwanachadema, ila damu ya huyu jamaa iliniuma sana, na ninaamini wauaji kama hawatatubu na Kumrudia Mungu, damu hii itaendelea kulia mikononi mwao wao na vizazi vyao. huyu jamaa hakustahili kutendewa kile alichotendewa. and I believe he was innocent, nakumbuka zile picha pale barabarani alipotelekezwa bila msaada wowote hadi kufa. kwanini lakini?