Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Naona uraisi si lele mama. Au labda Magufuli mwenyewe anajisurubu kupita kiasi katika hii kazi aliyoomba ya kuwa raisi wa Tanzania. Katika kipindi cha miaka mitatu amebadilika mno, si yule Magufuli wa kabla ya uraisi. Safari hii asithubutu kupiga push up, tusije tukaanza mengine!