Mada inahusika.
Nadhani tunakumbuka kwamba baada ya Jecha kufuta uchaguzi wote wa Zanzibar wa tarehe 25 oktoba, 2015 ulisogezwa mbele baada ya miezi sita.
Ndipo tarehe 20 Machi, 2016 ukaitishwa ule wa marudio. Kwa kadiri tunavyoelewa, uchaguzi unaitishwa kila baada ya miaka mitano. Matarajio yetu uchaguzi wa Zanzibar ungeitishwa Machi, 2021.
Je, Kisheria ni sawa kwamba Dkt Shein ametimiza miaka mitano? Au taratibu za kisheria zinaruhusu? Tayari ZEC imetangaza kufanyika uchaguzi wa Zanzibar Siku mbili za tarehe 27 na 28 Oktoba, 2020.
Tunaomba ufafanuzi.
Kishada
Nadhani tunakumbuka kwamba baada ya Jecha kufuta uchaguzi wote wa Zanzibar wa tarehe 25 oktoba, 2015 ulisogezwa mbele baada ya miezi sita.
Ndipo tarehe 20 Machi, 2016 ukaitishwa ule wa marudio. Kwa kadiri tunavyoelewa, uchaguzi unaitishwa kila baada ya miaka mitano. Matarajio yetu uchaguzi wa Zanzibar ungeitishwa Machi, 2021.
Je, Kisheria ni sawa kwamba Dkt Shein ametimiza miaka mitano? Au taratibu za kisheria zinaruhusu? Tayari ZEC imetangaza kufanyika uchaguzi wa Zanzibar Siku mbili za tarehe 27 na 28 Oktoba, 2020.
Tunaomba ufafanuzi.
Kishada