Miaka minne ya Rais Magufuli: Ni maajabu tupu kwenye miradi ya barabara

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809

TUELEWANE.

Serikali imefanikiwa kukamilisha ujenzi wa barabara kama ifuatavyo:-

(i) Dodoma – Manyoni - (127)
(ii) Singida – Shelui - (Km 110)
(iii) Nzega – Ilula na Tinde - Isaka (Km 169)
(iv) Nangurukuru – Mbwemkuru - Mingoyo (Km 190)

(v) Mkurunga – Kibiti - (Km 121)
(vi) Pugu – Kisarawe - (Km 6.6)
(vii) Singida – Isuna - (Km 63)
(viii) Kyamyorwa – Buzirayombo – Geita (Km 220)
(ix) Kigoma – Kidahwe - (Km 36)
(x) Chalinze – Morogoro - Melela - (Km 129)
(xi) Tunduma – Songwe - (Km 71)
(xii) Dodoma – Morogoro - (Km 256)
(xiii) Tarakea – Rongai – Kamwanga - (Km 32)
(xiv) Rombo Mkuu – Tarakea - (Km 32)
(xv) Geita – Busisi - (Km 92)
Miradi ambayo ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji ni:-

(i) Manyoni – Isuna - (Km 54)
(ii) Kagoma – Lisahunga - (Km 154)
(iii) Tabora – Malagarasi – Uvinza – Kigoma (Km 364)
(iv) Ndundu – Somanga - (Km 60)
(v) Arusha – Namanga - (Km 105)
(vi) Tanga – Horohoro - (Km 65)
(vii) Mwandiga – Manyovu - (Km 60)
(viii) Masasi – Mangaka - (Km 54)
(ix) Singida – Babati – Minjingu - (Km 224)

(c) Kukamilisha ukarabati wa barabara zote ambao unaendelea na
ujenzi kwa kiwango cha lami ambao umekwisha anza katika
Barabara Kuu na Barabara za Mikoa kama ifuatavyo:
• Manyoni – Isuna (Km 54);
• Kagoma – Biharamulo – Lusahunga (Km 154);
• Ndundu – Somanga (Km 60);
• Sumbawanga – Matai – Kasanga (Km 112);
• Marangu – Tarakea – Rongai – Kamwanga (Km 98);
• Minjingu – Babati – Singida (Km 222);
• Korogwe – Handeni (Km 65);
• Mziha – Turiani – Magole (Km 84.6)
• Dumila – Kilosa (Km 63)
• Bariadi – Lamadi (Km 71.8);
• Mbeya – Chunya – Makongolosi (Km 115);
• Tanga – Horohoro (Km 65);
• Masasi – Mangaka (Km 54);
• Makofia – Msata (km 64);
• Mwandiga – Manyovu (km 60);
• Handeni – Mkata (km 54);
• Kisarawe – Maneromango (Km 54);
• Njombe – Makete (Km 109).
• Barabara ya Kilwa/DSM (km 12);
• Barabara ya Mandela (km 16);
• Msimba – Ikokoto – Mafinga (Km 219);
• Arusha – Namanga (Km 105);
• Chalinze – Segera – Tanga (Km 245); na
• Isaka – Lusahunga (km 242)
• Kwasadala-Masama (Km 12.2);
• KiboshoShine-Kwa Raphael-International School (Km 43);
• RauMadukani-Mawela-UruNjari (Km 12.5);
• KiruaNduoni-Marangu Mtoni (Km 31.5);
• Kahama Mjini (Km 5).
(d) Kuanza Ujenzi mpya na ukarabati kwa Kiwango cha Lami Barabara
Zifuatazo:
40
• Bunda – Kisorya – Nansio (Km 93);
• Tunduma – Sumbawanga (Km 230);
• Rujewa – Madibira – Mafinga (Km 151);
• Babati – Dodoma – Iringa (Km 523);
• Sumbawanga – Kanyani – Nyakanazi (Km 562);
• Nata – Fort Ikoma (Km 141);
• Nzega – Tabora (Km 116);
• Manyoni – Itigi – Tabora (Km 264);
• Ipole – Koga – Mpanda (Km 255);
• Makurunge – Saadani – Pangani - Tanga (Km 178);
• Matai – Kasesya (Km 65);
• Mangaka – Mtambaswala (Km 65);
• Mto wa Mbu – Loliondo – Mugumu – Nata – Makutano (Km 452);
• Kyaka – Bugene (km 59);
• Mbinga – Mbamba bay (Km 66);
• Tunduru – Namtumbo (Km 194);
• Kamwanga – Sanya Juu (Km 75);
• Tabora – Urambo (Km 90);
• Uvinza – Kidahwe (Km 77);
• Daraja la Malagarasi na barabara zake (Km 48);
• Uyovu – Bwanga – Biharamuro (Km 112);
• Kisesa –Usagara (Km 17);
• Namtumbo – Songea (Km 70);
§ Peramiho – Mbinga (Km 78);
§ Kawawa Jct – Mwenge – Tegeta (Km 17);
• Segera – Same – Himo (km 261);
• Makambako – Songea (km 295);
• Mtwara – Masasi (km 200);
• Arusha – Moshi – Himo – Holili (km140);
• Arusha – Minjingu (km 104);
• Nyanguge – Musoma – Sirari (km 262); na
• Sanya Juu – Bomang’omba (Km 25).
(e) Kuzifanyia Upembuzi na Usanifu Barabara Zifuatazo:-
• Tabora – Mambali – Bukene – Itobo – Kahama (Km 149);
• Lupilo – Malinyi – Kilosa kwa Mpepo – Londo – Kitanda (km 396);
• Ifakara – Mahenge ( Km 67);
• Kibondo – Mabamba (km 35);
• Kolandoto- Lalago - Mwanhuzi - Matala - Oldeani Jct (km 328);
• Omugakorongo – Kigarama – Murongo (km 105);
• Mpemba – Isongole (Tanzania/Malawi) (km 49);
• Soni – Bumbuli –Dindira – Korogwe (km 74);
41
• Makofia – Mlandizi – Vikumburu (Km 148);
• Kibaoni – Majimoto – Inyonga Km 162);
• Mpanda- Ugala – Kaliua – Ulyankulu – Kahama (km 428);
• Makongolosi- Rungwa – Mkiwa (km 412);
• Mtwara – Newala – Masasi (km 209);
• Handeni – KiberasOfisi ya Rais - TamisemiUzalendoJPM2020 Ofisi ya Rais - Tamisemi
 
I see

Ngachoka kabisa!!

IMG_20190826_064824_113.jpeg
 
Serikali ya Awamu ya 5 naipongeza Mpaka sasa kwenye Mambo ma3 tu ya Msingi:-

1. Kuondoa Upigaji wa Tanesco kwenye Service Charges.
2.Kuondoa wizi wa TRA kwenye License ya Magari.
3.Ujenzi wa Barabara.
 
Back
Top Bottom