Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
- Thread starter
- #241
Acha kupotosha umefatilia kishimiri shule ya kata inavyopasua?
Wanatoa bora elimu ili watutawale vema
Wanatoa bora elimu ili watutawale vema
Mbona umesahau kuweka nambari yako yako ya simu ili tukupatie uteuzi?
Usiwe na mawazo ya kupinga tu magufuli anapiga kazi kubwa mno
Acha kupotosha umefatilia kishimiri shule ya kata inavyopasua?
Kila nikikaa jioni na mama chanja Huku tukiangalia habari mbalimbali za kitaifa huwa naona jinsi wasaidizi wake wanavyokimbia huku na huku kuona jinsi ya kukimbia kwa Kasi kimaendeleo km anavyotaka Rais wetu
Lakini furaha yangu sikuhizi siombwi tena pesa ya Ada kazi yangu imebaki kununua sare za shule na madaftari tu vingine vyote Magufuli anawalipia
Nikajiuliza hivi kuna Nchi yeyeto africa inaweza kuthubutu kulipia wanafunzi ada km anavyofanya huyu mzee?
Nimejaribu kutafuta kwa kweli sijapata
Nani km magufuli Africa? Au ndio maana ameshinda kuwa kiongozi wa sedic?
Ahsante magufuli kwa kutambua Elimu Ndio uti wa mgongo katika Nchi yeyote
Leo sitazungumzia zahanati kwa kila kijiji
Ahsante mzee kikwete kwa kutuletea chuma hiki
Hiyo ni siasa kwnye elimu,shtuka wewe,iv hushangai mbna watoto waa hawapo kwenye hizo shule?Kuna shule za kata zimeongoza kitaifa Hii inamaana elimu ina ubora
ha ha ha ha ha ha congo vita vinapiganwa maporini huko kama hapa kwetu pori la akiba katavi huko while mijini watu wanakula bata tu vita vinapiganwa kwenye migodi ndani ndani huko wanagombania mali
Analipa magufuli sio bure
HHiyo ni siasa kwnye elimu,shtuka wewe,iv hushangai mbna watoto waa hawapo kwenye hizo shule?
Hivi akiondoka itakuwaje tunarudi kama zamani au maana naona hakuna mtu anaeongelea tatizo la mifumo. Cha maana abasilishe mifumo au au wa milele ambayo hakuna mtu wa milele
Nawewe usiwe na tabia ya kupenda vya bure kupitia kujipendekeza
Km kuongea ukweli kwako ni kujipendekeza pole
inakia nyet pale ambapo inafuata misingi thabiti,ila kama mtu anaamka na miheko yake kitandan na kufanya reform bila tafit kufanyika matokeo yak ndo haya mtt wa std 7 hajui kusomaBwana nyox usisingizie kila Kitu siasa
Elimu ni swala nyeti
wewe wa kwako anasoma bure?Kila nikikaa jioni na mama chanja Huku tukiangalia habari mbalimbali za kitaifa huwa naona jinsi wasaidizi wake wanavyokimbia huku na huku kuona jinsi ya kukimbia kwa Kasi kimaendeleo km anavyotaka Rais wetu
Lakini furaha yangu sikuhizi siombwi tena pesa ya Ada kazi yangu imebaki kununua sare za shule na madaftari tu vingine vyote Magufuli anawalipia
Nikajiuliza hivi kuna Nchi yeyeto africa inaweza kuthubutu kulipia wanafunzi ada km anavyofanya huyu mzee?
Nimejaribu kutafuta kwa kweli sijapata
Nani km magufuli Africa? Au ndio maana ameshinda kuwa kiongozi wa sedic?
Ahsante magufuli kwa kutambua Elimu Ndio uti wa mgongo katika Nchi yeyote
Leo sitazungumzia zahanati kwa kila kijiji
Ahsante mzee kikwete kwa kutuletea chuma hiki
hawa watakuwa wastaafu wa Tanzania wakipigana na hali yao!!
Hapo wanatahamaki au wanaduwaa?hawa watakuwa wastaafu wa Tanzania wakipigana na hali yao!!
Unaonekana wewe ni Zero. Kiswahili hujui, hata maana ya SADC hujui umeandika vitu wakati akili yako ni ndogo sana. Dah pole kwa mzigo ulio nao maana aiseeh!Kila nikikaa jioni na mama chanja Huku tukiangalia habari mbalimbali za kitaifa huwa naona jinsi wasaidizi wake wanavyokimbia huku na huku kuona jinsi ya kukimbia kwa Kasi kimaendeleo km anavyotaka Rais wetu
Lakini furaha yangu sikuhizi siombwi tena pesa ya Ada kazi yangu imebaki kununua sare za shule na madaftari tu vingine vyote Magufuli anawalipia
Nikajiuliza hivi kuna Nchi yeyeto africa inaweza kuthubutu kulipia wanafunzi ada km anavyofanya huyu mzee?
Nimejaribu kutafuta kwa kweli sijapata
Nani km magufuli Africa? Au ndio maana ameshinda kuwa kiongozi wa sedic?
Ahsante magufuli kwa kutambua Elimu Ndio uti wa mgongo katika Nchi yeyote
Leo sitazungumzia zahanati kwa kila kijiji
Ahsante mzee kikwete kwa kutuletea chuma hiki
Hakuna ajira ndani ya nchi na ukitafuta ajira nje ya nchi unazuiwa uwanja wa ndege usisafiri.Tusiangalie elimu bure tu je elimu inayo tolewa bure ina ubora?
Hii inapatikana tu Tanzania ya viwanda...
-Tangu 2015 hakuna ajira, serekali imekataa kutoa ajira...
-Madaraja kwa wafanya kazi wa serikalini kutopandishwa..
-Nyongeza ya mishahara hakuna
Nchi zingine zote zinatoa elimu bora siyo bure elimu ya kutojua kusoma wala kuandika ingawa wahitimu wanamaliza na PhD. Awamu ya kwanza ilitoa elimu bure na bora mpaka Chuo Kikuu ndo ikawa mwisho wa wasomi bora.Kila nikikaa jioni na mama chanja Huku tukiangalia habari mbalimbali za kitaifa huwa naona jinsi wasaidizi wake wanavyokimbia huku na huku kuona jinsi ya kukimbia kwa Kasi kimaendeleo km anavyotaka Rais wetu
Lakini furaha yangu sikuhizi siombwi tena pesa ya Ada kazi yangu imebaki kununua sare za shule na madaftari tu vingine vyote Magufuli anawalipia
Nikajiuliza hivi kuna Nchi yeyeto africa inaweza kuthubutu kulipia wanafunzi ada km anavyofanya huyu mzee?
Nimejaribu kutafuta kwa kweli sijapata
Nani km magufuli Africa? Au ndio maana ameshinda kuwa kiongozi wa sedic?
Ahsante magufuli kwa kutambua Elimu Ndio uti wa mgongo katika Nchi yeyote
Leo sitazungumzia zahanati kwa kila kijiji
Ahsante mzee kikwete kwa kutuletea chuma hiki
Kwanini neno " thubutu" linakushinda kuandika kiufasaha?Kiswahili nilipata A and i can show you my result slip sisi tumesoma enzi hizo unatoka bukoba unakuja kufata result slip pale NECTA mwenge na unaisotea siku mbili hadi tatu kuipata we mtoto wa juzi huwezi kuyajua haya.unatoka povu hujui nchi imetoka wapi hii we umezaliwa umekua kuna instagram ndio mnashinda huko mnadanganyana upuuzi