Miaka mingi imepita lakini nahisiwa mimi nimemroga

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,278
6,673
Nimeshtuka sana wakuu na pia nimekosa raha, kwa sababu sina kabisa
mambo ya kishirikina.

Ni miaka mingi sasa imepita toka nimchumbie yule binti, si hivyo tu nilimlipia
ada ya chuo baada ya wazazi wake kushindwa, tena nilijibana kwelikweli kwani
nilitegemea atakuwa mama wa watoto wangu.

Tatizo lilikuja kujitokeza alipopata kazi, kuna mwarabu koko aliingilia kati uhusiano wetu
na kumnunulia gari la kutembelea. Kwa kifupi mimi nikafutwa kwenye himaya yake.

Nilipoulizia inakuwaje? Nikaambiwa nipige hesabu gharama zangu nirudishiwe,
wakuu sikudai chochote mpaka hii leo!

Juzi nimepigiwa simu na mdogo wake akiniomba kama kuna kitu nimefanya basi
nimsamehe dada yake kwani anateseka sana. Nilijaribu sana kumuuliza kimetokea nini
hakunijibu ameishia kulia tu!

Jana baada ya kufanya uchunguzi wa kina ndipo nikagundua kuwa yule binti kwa sasa
haoni na amepofuka kabisa macho yake, si hivyo tu ndoa yake na yule mwarabu imevunjika
baada ya tatizo hilo. Kinachonikera ni kuwa ndugu wote wanaamini kuwa mimi ndie
niliyemroga.

Sasa Toka mwaka 2006 mpaka leo mbona muda mrefu umepita? Mimi nilishamsahau
huyu binti kwa alichonifanyia na kwa sasa nimeoa. INANIUMA SANA WADAU.
 
Nimeshtuka sana wakuu na pia nimekosa raha, kwa sababu sina kabisa
mambo ya kishirikina.

Ni miaka mingi sasa imepita toka nimchumbie yule binti, si hivyo tu nilimlipia
ada ya chuo baada ya wazazi wake kushindwa, tena nilijibana kwelikweli kwani
nilitegemea atakuwa mama wa watoto wangu.

Tatizo lilikuja kujitokeza alipopata kazi, kuna mwarabu koko aliingilia kati uhusiano wetu
na kumnunulia gari la kutembelea. Kwa kifupi mimi nikafutwa kwenye himaya yake.

Nilipoulizia inakuwaje? Nikaambiwa nipige hesabu gharama zangu nirudishiwe,
wakuu sikudai chochote mpaka hii leo!

Juzi nimepigiwa simu na mdogo wake akiniomba kama kuna kitu nimefanya basi
nimsamehe dada yake kwani anateseka sana. Nilijaribu sana kumuuliza kimetokea nini
hakunijibu ameishia kulia tu!

Jana baada ya kufanya uchunguzi wa kina ndipo nikagundua kuwa yule binti kwa sasa
haoni na amepofuka kabisa macho yake, si hivyo tu ndoa yake na yule mwarabu imevunjika
baada ya tatizo hilo. Kinachonikera ni kuwa ndugu wote wanaamini kuwa mimi ndie
niliyemroga.

Sasa Toka mwaka 2006 mpaka leo mbona muda mrefu umepita? Mimi nilishamsahau
huyu binti kwa alichonifanyia na kwa sasa nimeoa. INANIUMA SANA WADAU.
Pole kaka. Sijui imani hizi zitaisha lini
 
Mkuu sio kosa lako wee endelea tu na maisha yako wasikuzingue.

Watu wengi wanapopata matatizo badala ya ku-accept kuwa yanaweza yakawa yametokana na mambo waliyofanya, they always look for someone/something to blame.

Actions have consequences, so hao ndugu wasianze kupoint fingers, ila wakubali tu kuwa hayo matatizo anayopitia ndugu yao ni consequences of her actions. She has no-one to blame but herself.
 
Nimeshtuka sana wakuu na pia nimekosa raha, kwa sababu sina kabisa
mambo ya kishirikina.

Ni miaka mingi sasa imepita toka nimchumbie yule binti, si hivyo tu nilimlipia
ada ya chuo baada ya wazazi wake kushindwa, tena nilijibana kwelikweli kwani
nilitegemea atakuwa mama wa watoto wangu.

Tatizo lilikuja kujitokeza alipopata kazi, kuna mwarabu koko aliingilia kati uhusiano wetu
na kumnunulia gari la kutembelea. Kwa kifupi mimi nikafutwa kwenye himaya yake.

Nilipoulizia inakuwaje? Nikaambiwa nipige hesabu gharama zangu nirudishiwe,
wakuu sikudai chochote mpaka hii leo!

Juzi nimepigiwa simu na mdogo wake akiniomba kama kuna kitu nimefanya basi
nimsamehe dada yake kwani anateseka sana. Nilijaribu sana kumuuliza kimetokea nini
hakunijibu ameishia kulia tu!

Jana baada ya kufanya uchunguzi wa kina ndipo nikagundua kuwa yule binti kwa sasa
haoni na amepofuka kabisa macho yake, si hivyo tu ndoa yake na yule mwarabu imevunjika
baada ya tatizo hilo. Kinachonikera ni kuwa ndugu wote wanaamini kuwa mimi ndie
niliyemroga.

Sasa Toka mwaka 2006 mpaka leo mbona muda mrefu umepita? Mimi nilishamsahau
huyu binti kwa alichonifanyia na kwa sasa nimeoa. INANIUMA SANA WADAU.
Comrade wewe usijal malipo ni hapa hapa dunian ila usirudie tena kusomesha mchumba bro..!!
 
Bado nakumbuka humu kuna mdada alitukana neno "karma", alimkosea mwenzie nikaishia kusikitika tu.
Sidhan kama kuna machoz yanayoenda bure na sidhani kama kuna maumivu ya moyo kwa ajil ya mtu fulan tena unamtaja na jina, ambayo yanaenda bure...!
Kuna wakat nakumbuka mtu alinikebehi na kuniuliza kwa.dharau, "kwaio.unanitishia na maumivu yako"
Sikumjibu kitu.
Mkuu embu fanya namna kaonane nao hio familia.
 
Bado nakumbuka humu kuna mdada alitukana neno "karma", alimkosea mwenzie nikaishia kusikitika tu.
Sidhan kama kuna machoz yanayoenda bure na sidhani kama kuna maumivu ya moyo kwa ajil ya mtu fulan tena unamtaja na jina, ambayo yanaenda bure...!
Kuna wakat nakumbuka mtu alinikebehi na kuniuliza kwa.dharau, "kwaio.unanitishia na maumivu yako"
Sikumjibu kitu.
Mkuu embu fanya namna kaonane nao hio familia.
Mimi nilishasamehe mkuu.
 
Nimeshtuka sana wakuu na pia nimekosa raha, kwa sababu sina kabisa
mambo ya kishirikina.

Ni miaka mingi sasa imepita toka nimchumbie yule binti, si hivyo tu nilimlipia
ada ya chuo baada ya wazazi wake kushindwa, tena nilijibana kwelikweli kwani
nilitegemea atakuwa mama wa watoto wangu.

Tatizo lilikuja kujitokeza alipopata kazi, kuna mwarabu koko aliingilia kati uhusiano wetu
na kumnunulia gari la kutembelea. Kwa kifupi mimi nikafutwa kwenye himaya yake.

Nilipoulizia inakuwaje? Nikaambiwa nipige hesabu gharama zangu nirudishiwe,
wakuu sikudai chochote mpaka hii leo!

Juzi nimepigiwa simu na mdogo wake akiniomba kama kuna kitu nimefanya basi
nimsamehe dada yake kwani anateseka sana. Nilijaribu sana kumuuliza kimetokea nini
hakunijibu ameishia kulia tu!

Jana baada ya kufanya uchunguzi wa kina ndipo nikagundua kuwa yule binti kwa sasa
haoni na amepofuka kabisa macho yake, si hivyo tu ndoa yake na yule mwarabu imevunjika
baada ya tatizo hilo. Kinachonikera ni kuwa ndugu wote wanaamini kuwa mimi ndie
niliyemroga.

Sasa Toka mwaka 2006 mpaka leo mbona muda mrefu umepita? Mimi nilishamsahau
huyu binti kwa alichonifanyia na kwa sasa nimeoa. INANIUMA SANA WADAU.
Ndo malipo yenyewe hayo.
Kwa nini umtese mtu, kilio chake kinakufurahisha nini?
What goes up must come down! ukiishi kwa upanga nao lazima ukumalize tuu no way you can escape it unless uombe msamaha.

Kuna watu wanaona kama wanaimilik hii dunia yani, wao daily wanafurahi wenzao waomboleze tuu.
 
Back
Top Bottom