Miaka inakata niliosoma nao from primary to University wengi wametoboa kimaisha mi bado nasota,najiuliza Nakosea wapi?

Kiukweli kadri siku zinavyozidi kwenda nakata tamaa

Naona mambo yangu hayaendi sawa kabisa japo nimesoma na najishughulisha ila hali ngumu sana

Mi ni kijana mwenye miaka 31 Nina elimu ngazi ya PGDE ambayo ipo mbele ya Bachelor

Tangu nimalize bachelor na hiyo PGDE ni mwaka wa 6 sasa sina dili la kueleweka la kupata fedha za kutosha kuendesha Maisha

Najishughulisha na kazi katika private sector flani inayotoa elimu lakini salary ndogo,nimejaribu kuomba kazi Maeneo mbalimbali kuanzia serikali na taasisi binafsi but sijafanikiwa

Hela ninayopata ni ya kuunga unga sana

Nikiwaangalia baadhi ya wenzangu wengi niliosoma nao wamefanikiwa kimaisha na sasa najiuliza mi nafail wapi mbona najishighulisha sana ingawa kipato ninachopata ni kidogo

Sina mtaji labda ningeweza kufanya biashara

Nifanyaje wakuu nitoboe naona umri unazidi kwenda na Nina watoto wawili wanalelewa na mama yao ambaye ni mwajiriwa ,nikiwaza kuhusu watoto wangu na sioni mwanga wa mafanikio hadi sasa najiuliza wataishi vipi wanangu,hata kama mama yao ana hela za kuwahudumia ila najiskia vibaya kutowapa msaada mkubwa kama baba,niliwapata kipindi nasoma hela ilikiwepo ya boom na bahati nzuri mama mtoto nae alipata kazi mapema ,nifanyaje wakuu nitoboe??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza tayar unamafanikio bro usilinganishe wewe na mwingine kuwa wewe
 
Tatizo LA Vijana wengi ni Kujivunia Elimu aliokuwa nayo badala ya Matokeo ya kile anachokipata,
MTU anajivunia ana Masters,Yeye ni Eng,PhD,Nk nk,Muda wooote anaendelea kusota na Kazi Isiomlipa badala ya kujiongeza hata Kujiajiri na Kuongeza kipata kwa namba yeyote Au kutafuta Kazi inayoendana na Kiwango cha Elimu yake
Yeye amebaki Kujisifu tuuu oooh nimesoma Udsm,Sua,Nk,nk,havisaidii....
Unakuta MTU kapiga Diploma tuuu au Certificate ila kimaisha katoboa na hana Mpango sijui wa Majivuno!

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu watu wengi tunashindwa kuelewa au ni mfumo wetu wa elimu ukisoma ulaya kila mtu anawaza nikimaliza shule nikafungue kampuni yangu huku sisi tunawaza kuajiliwa serikalini ulaya watu hawana taimu kabisa ya kuajiliwa serikalini
 
Alafu watu wengi tunashindwa kuelewa au ni mfumo wetu wa elimu ukisoma ulaya kila mtu anawaza nikimaliza shule nikafungue kampuni yangu huku sisi tunawaza kuajiliwa serikalini ulaya watu hawana taimu kabisa ya kuajiliwa serikalini
Kwa hiyo ulaya hakuna wafanyakazi wa serikali au
 
Pole sana mkuu, ila maisha hayanaga formula ya 1+1=2, muda mwingine
Kiukweli kadri siku zinavyozidi kwenda nakata tamaa

Naona mambo yangu hayaendi sawa kabisa japo nimesoma na najishughulisha ila hali ngumu sana

Mi ni kijana mwenye miaka 31 Nina elimu ngazi ya PGDE ambayo ipo mbele ya Bachelor

Tangu nimalize bachelor na hiyo PGDE ni mwaka wa 6 sasa sina dili la kueleweka la kupata fedha za kutosha kuendesha Maisha

Najishughulisha na kazi katika private sector flani inayotoa elimu lakini salary ndogo,nimejaribu kuomba kazi Maeneo mbalimbali kuanzia serikali na taasisi binafsi but sijafanikiwa

Hela ninayopata ni ya kuunga unga sana

Nikiwaangalia baadhi ya wenzangu wengi niliosoma nao wamefanikiwa kimaisha na sasa najiuliza mi nafail wapi mbona najishighulisha sana ingawa kipato ninachopata ni kidogo

Sina mtaji labda ningeweza kufanya biashara

Nifanyaje wakuu nitoboe naona umri unazidi kwenda na Nina watoto wawili wanalelewa na mama yao ambaye ni mwajiriwa ,nikiwaza kuhusu watoto wangu na sioni mwanga wa mafanikio hadi sasa najiuliza wataishi vipi wanangu,hata kama mama yao ana hela za kuwahudumia ila najiskia vibaya kutowapa msaada mkubwa kama baba,niliwapata kipindi nasoma hela ilikiwepo ya boom na bahati nzuri mama mtoto nae alipata kazi mapema ,nifanyaje wakuu nitoboe??

Sent using Jamii Forums mobile app
1+2=11 au sometime equal to zero, kaza buti kwa hicho kidogo unachopata, save more spend less

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kadri siku zinavyozidi kwenda nakata tamaa

Naona mambo yangu hayaendi sawa kabisa japo nimesoma na najishughulisha ila hali ngumu sana

Mi ni kijana mwenye miaka 31 Nina elimu ngazi ya PGDE ambayo ipo mbele ya Bachelor

Tangu nimalize bachelor na hiyo PGDE ni mwaka wa 6 sasa sina dili la kueleweka la kupata fedha za kutosha kuendesha Maisha

Najishughulisha na kazi katika private sector flani inayotoa elimu lakini salary ndogo,nimejaribu kuomba kazi Maeneo mbalimbali kuanzia serikali na taasisi binafsi but sijafanikiwa

Hela ninayopata ni ya kuunga unga sana

Nikiwaangalia baadhi ya wenzangu wengi niliosoma nao wamefanikiwa kimaisha na sasa najiuliza mi nafail wapi mbona najishighulisha sana ingawa kipato ninachopata ni kidogo

Sina mtaji labda ningeweza kufanya biashara

Nifanyaje wakuu nitoboe naona umri unazidi kwenda na Nina watoto wawili wanalelewa na mama yao ambaye ni mwajiriwa ,nikiwaza kuhusu watoto wangu na sioni mwanga wa mafanikio hadi sasa najiuliza wataishi vipi wanangu,hata kama mama yao ana hela za kuwahudumia ila najiskia vibaya kutowapa msaada mkubwa kama baba,niliwapata kipindi nasoma hela ilikiwepo ya boom na bahati nzuri mama mtoto nae alipata kazi mapema ,nifanyaje wakuu nitoboe??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaza buti mkuu, kila muda anatoboa kwa zamu yake tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo ulaya hakuna wafanyakazi wa serikali au
wapo lakini watu hawashobokei kazi za serikali kama sisi huku ukiajiliwa serikalini unajiona umetoboa kule wenzetu mtazamo wao ni kujiajili tu mkuu tembea uone
 
Kiukweli kadri siku zinavyozidi kwenda nakata tamaa

Naona mambo yangu hayaendi sawa kabisa japo nimesoma na najishughulisha ila hali ngumu sana

Mi ni kijana mwenye miaka 31 Nina elimu ngazi ya PGDE ambayo ipo mbele ya Bachelor

Tangu nimalize bachelor na hiyo PGDE ni mwaka wa 6 sasa sina dili la kueleweka la kupata fedha za kutosha kuendesha Maisha

Najishughulisha na kazi katika private sector flani inayotoa elimu lakini salary ndogo,nimejaribu kuomba kazi Maeneo mbalimbali kuanzia serikali na taasisi binafsi but sijafanikiwa

Hela ninayopata ni ya kuunga unga sana

Nikiwaangalia baadhi ya wenzangu wengi niliosoma nao wamefanikiwa kimaisha na sasa najiuliza mi nafail wapi mbona najishighulisha sana ingawa kipato ninachopata ni kidogo

Sina mtaji labda ningeweza kufanya biashara

Nifanyaje wakuu nitoboe naona umri unazidi kwenda na Nina watoto wawili wanalelewa na mama yao ambaye ni mwajiriwa ,nikiwaza kuhusu watoto wangu na sioni mwanga wa mafanikio hadi sasa najiuliza wataishi vipi wanangu,hata kama mama yao ana hela za kuwahudumia ila najiskia vibaya kutowapa msaada mkubwa kama baba,niliwapata kipindi nasoma hela ilikiwepo ya boom na bahati nzuri mama mtoto nae alipata kazi mapema ,nifanyaje wakuu nitoboe??

Sent using Jamii Forums mobile app
Omba Mungu atakufungulia milango ya mafanikio katika maisha yako,swala la kufanikiwa hizo ni karama ambazo kila mtu ana yake,na haziwezi kufanana hata kidogo,amini kuwa kwa maombi Mungu atasikia hitaji lako na kukuwekea njia...
 
Kiukweli kadri siku zinavyozidi kwenda nakata tamaa

Naona mambo yangu hayaendi sawa kabisa japo nimesoma na najishughulisha ila hali ngumu sana

Mi ni kijana mwenye miaka 31 Nina elimu ngazi ya PGDE ambayo ipo mbele ya Bachelor

Tangu nimalize bachelor na hiyo PGDE ni mwaka wa 6 sasa sina dili la kueleweka la kupata fedha za kutosha kuendesha Maisha

Najishughulisha na kazi katika private sector flani inayotoa elimu lakini salary ndogo,nimejaribu kuomba kazi Maeneo mbalimbali kuanzia serikali na taasisi binafsi but sijafanikiwa

Hela ninayopata ni ya kuunga unga sana

Nikiwaangalia baadhi ya wenzangu wengi niliosoma nao wamefanikiwa kimaisha na sasa najiuliza mi nafail wapi mbona najishighulisha sana ingawa kipato ninachopata ni kidogo

Sina mtaji labda ningeweza kufanya biashara

Nifanyaje wakuu nitoboe naona umri unazidi kwenda na Nina watoto wawili wanalelewa na mama yao ambaye ni mwajiriwa ,nikiwaza kuhusu watoto wangu na sioni mwanga wa mafanikio hadi sasa najiuliza wataishi vipi wanangu,hata kama mama yao ana hela za kuwahudumia ila najiskia vibaya kutowapa msaada mkubwa kama baba,niliwapata kipindi nasoma hela ilikiwepo ya boom na bahati nzuri mama mtoto nae alipata kazi mapema ,nifanyaje wakuu nitoboe??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kosa lako la kwanza ni kujilinganisha na wengine. Kamwe ukifanya hivyo hutakuja kuwa na amani ya moyo na hutakuwa na malengo yako. Mimin nina gari, nyumba, mke na watoto na kazi ya salary 1.5m lakini kila nikijilinganisha na wengine naona mimi maskini wa kutupwa, nikiangalia kuna waliokuwa nyuma yangu wana mambo makubwa kuliko mimi. Baada ya kuacha kuangalia mambo ya watu ya kwangu nimeanza kujiona niko vizuri maana nakula, navaa, nina pa kuegesha kichwa changu hata kama siyo bangaloo kama za wengine. Watoto wanaenda shule, nimeridhika.

Kosa la pili, unatarajia ajira ya kulipwa mshahara ndo utoke kimaisha, hiyo sahau, hata upate kazi itakayokupa 2m take home, hutatoboa. Toka nje ya box watu wengi sana waliofanikiwa ilibidi kuwa na kitu kingine cha kufanya nje ya mshahara.

Kosa la tatu, na la mwisho kwa mtazamon wangu, usitarajie ndugu au rafiki aliyefanikiwa kuja kukusaidia kutoka kimaisha. Pambana mwenyewe kivyako vyako, punguza wategemezi wanaokuzunguka ambao ni unnecessary. Hata ujipange vipi kama umezungukwa na watu ambao kila mwisho wa mwezi wanakuja kukupiga mizinga, na ambao wewe ukiwa na tatizo hawawezi kukusaidia hutoweza kufanikiwa. Nimejifunza hili binafsi ktk maisha yangu. Mwisho wa mwezi unatuma hela kwa watu takriban kumi (hata kama ni 20k) lakini ameshakutoa upepo. Ila ukiwa na tatizo unapyatila simu yako mwanzo mwisho huoni mtu wa kumpigia ambaye atakupa hata laki 1. basi hapo ujue uko chaka ile mbaya. Jifunze power of association, nani awe rafiki yako na nani asiwe.

Naishia hapo kwa leo
 
ucjal sana mkuu, package yako kama ipo utaipata tatizo muda na shida huwa tunaangalia wenzetu mafankio yao na tunalinganisha na sisi , hlo ni kosa xababu packge zetu zinakua njia tofauti angalia kwako usiangalie mtu

Wakati wewe unapata kazi ya maana miaka yako 40 mwenzako uliosoma naye anastaafu miaka 57+
 
Kiukweli kadri siku zinavyozidi kwenda nakata tamaa

Naona mambo yangu hayaendi sawa kabisa japo nimesoma na najishughulisha ila hali ngumu sana

Mi ni kijana mwenye miaka 31 Nina elimu ngazi ya PGDE ambayo ipo mbele ya Bachelor

Tangu nimalize bachelor na hiyo PGDE ni mwaka wa 6 sasa sina dili la kueleweka la kupata fedha za kutosha kuendesha Maisha

Najishughulisha na kazi katika private sector flani inayotoa elimu lakini salary ndogo,nimejaribu kuomba kazi Maeneo mbalimbali kuanzia serikali na taasisi binafsi but sijafanikiwa

Hela ninayopata ni ya kuunga unga sana

Nikiwaangalia baadhi ya wenzangu wengi niliosoma nao wamefanikiwa kimaisha na sasa najiuliza mi nafail wapi mbona najishighulisha sana ingawa kipato ninachopata ni kidogo

Sina mtaji labda ningeweza kufanya biashara

Nifanyaje wakuu nitoboe naona umri unazidi kwenda na Nina watoto wawili wanalelewa na mama yao ambaye ni mwajiriwa ,nikiwaza kuhusu watoto wangu na sioni mwanga wa mafanikio hadi sasa najiuliza wataishi vipi wanangu,hata kama mama yao ana hela za kuwahudumia ila najiskia vibaya kutowapa msaada mkubwa kama baba,niliwapata kipindi nasoma hela ilikiwepo ya boom na bahati nzuri mama mtoto nae alipata kazi mapema ,nifanyaje wakuu nitoboe??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa level hii ya reasoning from University graduate nadhani nina kila sababu ya kumpeleka mtoto wangu Veta then DIT. Kuna tatizo kubwa sana la mitaala yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...
kibongobongo watu wanatoboa kulingana na mazingira,kuna wengine yanawa-favor,kuna wengine yanawakataa,na yakishakukataa mzeebaba kutoka inabidi ukaze msuli hasaaa unaweza ukawa unaona umri unakata tu halafu we uko pale pale,mbaya zaidi ukiwa unajifananisha nao ambao mazingira yaliowa-favor yaani ndo utapagawa zaidi,utanyong'onyea,utapoteza nguvu,hamasa mwisho wa siku unakata tamaa unakuwa unatafuta hela ya kula tu,we tembea kwenye vitengo mbalimbali utakuta watu wanaohusiana tu mjomba,binamu,shangazi,nk we angalia tu hata mkulu watu anaowateua kwa % kubwa,yaani watu fulani ambao yaani either wanatoka kanda moja,kabila au marafiki

kwa hiyo mkuu endelea kukomaa mwenyewe au tafuta koneksheni ya vitengo fulani fulani hivi vyenye mkwanja
 
Mimi nafikiri kujilinganisha na wenzako hasa wenye mfanikio sio tatizo kabisa mimi nikiona watu tuliouwa nao wamefanikiwa inanipa hari ya kuzidi kupambana kusaka hela zaidi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujue tunazungukwa na watu, so automatically tu vitu vingi unakuta unaangalia wenzako wanafanyaje wakafanikiwa au walifanyaje wakafeli ili ujifunze
Pia kipimo cha mafanikio au kufeli katika jambo lolote duniani pote kinapimwa kwa relativity

Anayesema anaishi maisha yake bila kulinganisha na wengine anajidanganya au ni mnafiki
Swadakta kula tano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom