Miaka ile ilikuwa kawaida kuvuta sigara bar, au kwenye mgahawa wa chakula

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,588
215,184
Kutokana na madhara mengi ya kiafya yanayotokakana na moshi wa sigara, smoking ban iliwekwa. Ni wangapi waliwahi kuulizwa smoking or non smoking area wakati wananunua ticket ya ndege?

Hii inainyesha jinsi nguvu ya umma ilivyo kubwa. Pamoja na mahela ya wenye kampuni za sigara lakini wameshindwa kulizuia hili.

Miaka ile ilikuwa kawaida kuvuta sigara bar, au kwenye mgahawa wa chakula. Sikuhizi hata nyumbani kwako pia unashauriwa uvutie sigara nje hasa ukiwa na watoto. Sisi wengine tulikua tunatumwa kuwasha sigara ya bsbu jikoni na ukiileta bsbu snaendelea na hadithi.
 
Umenikumbusha miaka ileee nilikuwa navuta sigara kwenye ndege Rukhsaa
Na mpaka nilipokuja huku sigara zilikuwa rukhsa kwenye mabus na ilikuwa kawaida
Kwa kweli mambo yamebadilika kama mwanadamu akiamua linawezekana.
Siku hizi mpaka rangirangi za sigara zimepigwa marufuku ni rangi moja zote ili watoto wasishawishikie kwa rangi hizo
Wazungu wana maamuzi kweli yaani kama sisi tu kwa Plastic bags ila wizi pia na rushwa tutaweza tujipange tu baada ya miaka let's say 100

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Umenikumbusha miaka ileee nilikuwa navuta sigara kwenye ndege Rukhsaa
Na mpaka nilipokuja huku sigara zilikuwa rukhsa kwenye mabus na ilikuwa kawaida
Kwa kweli mambo yamebadilika kama mwanadamu akiamua linawezekana.
Siku hizi mpaka rangirangi za sigara zimepigwa marufuku ni rangi moja zote ili watoto wasishawishikie kwa rangi hizo
Wazungu wana maamuzi kweli yaani kama sisi tu kwa Plastic bags ila wizi pia na rushwa tutaweza tujipange tu baada ya miaka let's say 100

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Mkuu wangu... hiyo ya kuvuta sigara ndani ya ndege ilikuwa mwaka gani
 
Long ago nchi za watu,nazama uwanjani kuangalia derby flani,raia wanapuliza fegi km wapo amoking room, tho nlkua bado sijaacha ila nlkereka saana,hizi ban safi sana.afya za watu wengi zlkua mashakani

Sent using Brain
 
Sema Bongo wavutaji wa Sigara ni wachache sana,Ukitaka kuamini toka nje ya bongo.Kuna watu wanavuta fegi wewe yaani ni bandika bandua alafu kama hakija tokea kitu.
 
Ilikuwa miaka ya 80 na 90 na kulikuwa na ashtrays kwenye ndege zote na ilikuwa jambo la kawaida sana ukikata ticket wanakuuliza smoking or non smoking?
Ila walipopiga marufuku tuliteseka sana wavutaji



Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Doh hiyo ilikuwa vurugu bin taabu
 
Doh hiyo ilikuwa vurugu bin taabu
Kweli kabisa maana tangu wamepiga marufuku na wengi tumeacha maana kila mahali wanaikataa
Siku hizi hata ukiingia kwenye kiwanda au maofisi mengine huruhusiwi hata kuvuta nje ya jengo labda utoke kabisa nje ya gate.
Ila kuna siku tumepasua anga masaa matano tunakuja Dar halafu transit Kampala kwa dakika chache tu wasafiri wa Uganda kushuka na wengine kupanda
Ile tumefika Kampala pilot akatangaza
Najua kuna watu wana hamu ya kuvuta sigara kwa hiyo natoa dakika kumi mkavute weeeee
Watu walianzia kwenye ngazi

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom