Miaka ijayo Rais Samia atakumbukwa kama 'Iron Lady', tumpe muda ya kuendeleza vita vya uhujumu uchumi na ugaidi

Tukiachana na unafiki, hakika nikiri kusema Serikali ya Rais Samia ni imara na madhubuti kwenye kusimamia amani na usalama wa nchi yetu.

Jukumu la Rais kama amri jeshi mkuu ni kuhakikisha usalama na amani vinalindwa kwa nguvu zote na yeyote anayeonesha viashiria vyovyote vya kuvunja amani anadhibitiwa na kushtakiwa.

Katika mambo yanayohatarisha uchumi na uwekezaji ni uwepo wa vitendo vya ugaidi unaoratibiwa kwa mgongo wa siasa na wahusika waonekane wanaonewa vinavyodhibiwa.

Utawala wa Rais Samia Suluhu umesema hapana na kama mtanzania mwenye uchungu na Taifa lake anapigana kufa na kupona kuhakikisha usalama upo kwa ajili ya wawekezaji na watanzania kwa ujumla.

Tusiwe wepesi wa kulaumu pale wanaoenda kinyume na sheria zetu wanapoadhibiwa na badala yake tupongeze kwa maamuzi mazuri yanayofanywa na Serikali.

Serikali ya Rais Samia imeonyesha mfano wa Serikali makini inavyopaswa kuwa linapotea kundi la watu linapochochea uhalifu kwa mgongo wa siasa.

Ni muda muafaka sasa watanzania kuamini vita vya ugaidi na uhujumu uchumi vilivyopiganwa na Serikali ya awamu ya tano vimepata mpambanji mwingine hodari wa kuviendeleza.

MIMI NINAAHIDI KUWA NA RAIS SAMIA KWENYE VITA YA UGAIDI
.
JamiiForums1647670881.jpg
 
Tukiachana na unafiki, hakika nikiri kusema Serikali ya Rais Samia ni imara na madhubuti kwenye kusimamia amani na usalama wa nchi yetu.

Jukumu la Rais kama amri jeshi mkuu ni kuhakikisha usalama na amani vinalindwa kwa nguvu zote na yeyote anayeonesha viashiria vyovyote vya kuvunja amani anadhibitiwa na kushtakiwa.

Katika mambo yanayohatarisha uchumi na uwekezaji ni uwepo wa vitendo vya ugaidi unaoratibiwa kwa mgongo wa siasa na wahusika waonekane wanaonewa vinavyodhibiwa.

Utawala wa Rais Samia Suluhu umesema hapana na kama mtanzania mwenye uchungu na Taifa lake anapigana kufa na kupona kuhakikisha usalama upo kwa ajili ya wawekezaji na watanzania kwa ujumla.

Tusiwe wepesi wa kulaumu pale wanaoenda kinyume na sheria zetu wanapoadhibiwa na badala yake tupongeze kwa maamuzi mazuri yanayofanywa na Serikali.

Serikali ya Rais Samia imeonyesha mfano wa Serikali makini inavyopaswa kuwa linapotea kundi la watu linapochochea uhalifu kwa mgongo wa siasa.

Ni muda muafaka sasa watanzania kuamini vita vya ugaidi na uhujumu uchumi vilivyopiganwa na Serikali ya awamu ya tano vimepata mpambanji mwingine hodari wa kuviendeleza.

MIMI NINAAHIDI KUWA NA RAIS SAMIA KWENYE VITA YA UGAIDI
Biashara hazichangamuki kwenye jamii zilizo nyamaza 'silent societies'
 
Back
Top Bottom