Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Wakati CCM wasema elimu bure haiwezekani na JK hata anadiriki kuwaponda wanaoidai ni ............"absolutely nonsense"........wenzetu wa Kenya ambao wapo makini siyo kama sisi tuliojaa bla-bla tu wametimiza leo miaka 8 tangia elimu bure ya shule ya msingi kuanza kutolewa na wanaohitimu darasa la nane leo wako laki saba.......................ambao wazazi wao hawakutoa hata thumni kugharimia masomo yao....................
Katika hali hii tutegemee Kenya kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki watakuwa viongozi na sisi wapagasi wao kutokana na uongozi wa mafisadi wa CCM ambao kutoa misamaha ya kodi kwa manufaa yao hawaoni tatizo na wanakuwa ni DR.YES lakini kumhudumia mtanzania hapo wao ni Dr. NO............................
KWELI NI KIGUMU CHAMA CHA MAFISADI...............
Katika hali hii tutegemee Kenya kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki watakuwa viongozi na sisi wapagasi wao kutokana na uongozi wa mafisadi wa CCM ambao kutoa misamaha ya kodi kwa manufaa yao hawaoni tatizo na wanakuwa ni DR.YES lakini kumhudumia mtanzania hapo wao ni Dr. NO............................
KWELI NI KIGUMU CHAMA CHA MAFISADI...............