sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
fedha kushuka thamani inachangia ugumu wa maisha, na usifikiri watu hawafanyi kazi ndo mana wanalalamika siyo hvyo bali hawapati maendeleo katika wanachokitafuta mana kinaishia kwenye kula tuu.ugumu wa maisha ni kipimo cha akili yako,ie uwezo wako wa kufikiri.unataka kikwete akuletee pesa ya matumizi na mkeo nyumbani?