Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee kila kitu anacho, Vijisenti ndiyo usiseme. Anasema ananipenda na yuko tayari kunifanya nionekane malkia katika ulimwengu huu. Jamani naomba ushauri wenu, nimpe au hapana? Kuwa malkia katika ulimwengu huu napenda lakini umri tatizo.
mpe ila nakushauri uwe unafumba macho pale kinapo chachamaa?huyu mzee kila kitu anacho, vijisenti ndiyo usiseme. Anasema ananipenda na yuko tayari kunifanya nionekane malkia katika ulimwengu huu. Jamani naomba ushauri wenu, nimpe au hapana? Umalkia katika ulimwengu huu nautamani lakini umri unanitisha.
Huyu mzee kila kitu anacho, Vijisenti ndiyo usiseme. Anasema ananipenda na yuko tayari kunifanya nionekane malkia katika ulimwengu huu. Jamani naomba ushauri wenu, nimpe au hapana? Umalkia katika ulimwengu huu nautamani lakini umri unanitisha.
usiogope.huyo atakuwa ana experience ya zaidi ya miaka 45.naogopa murder case mkuu
Mtawa, hiki kikongwe sikipendi na hata ukifunua moyoni mwangu hakimo kabisa kabisa, nachotamani ni Umalkia tu.Hahahah mtawa! Angalia hako kazee kasijekufia kifuani, ujana wake ale na nani afu uzee wake akuletee wewe! Use ur brain eat hs monie then sepa hana future huyo...mwite lara 1 akupe ujanja wa kukichuna hiko kizee
Mtawa, hiki kikongwe sikipendi na hata ukifunua moyoni mwangu hakimo kabisa kabisa, nachotamani ni Umalkia tu.
kugegedwa ni lazma.hapo ujanja hamna.zaidi ya hapo labda kujitoa mapemahiyo mbona easy tu, waweza kukichuna hadi bila kugegedwa...akil kumkichwa
Huyu mzee kila kitu anacho, Vijisenti ndiyo usiseme. Anasema ananipenda na yuko tayari kunifanya nionekane malkia katika ulimwengu huu. Jamani naomba ushauri wenu, nimpe au hapana? Umalkia katika ulimwengu huu nautamani lakini umri unanitisha.