johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nyota njema huonekana asubuhi.
Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe.
Sina uhakika ni nani mwingine hapa nchini ni mtoto wa Kiroho wa baba wa taifa Mwalimu Nyerere zaidi ya huyu mahabusu Freeman Mbowe.
Sisi Wajanja wa Mzizima tunamkubali Mwamba.
Mungu ampe wepesi na kumtoa gerezani!
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe.
Sina uhakika ni nani mwingine hapa nchini ni mtoto wa Kiroho wa baba wa taifa Mwalimu Nyerere zaidi ya huyu mahabusu Freeman Mbowe.
Sisi Wajanja wa Mzizima tunamkubali Mwamba.
Mungu ampe wepesi na kumtoa gerezani!
Mungu wa mbinguni awabariki sana!