Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
Nipo naangalia shamra shamra za kutimiza miaka 60 ya uhuru wa taifa letu kupitia TBC ,viongozi mbalimbali wamealikwa kuelezea Tanzania ikipotoka, ilipo na inakoelekea.
Majadiliano haya yanaenda sambamba na kuonyeshwa kwa picha za miradi mikubwa iliyotekelezwa na nchi ndani ya hii miaka 60 , kwa kweli picha zinazovutia zaidi kuangalia ni flyovers, SGR, bwawa la umeme la Nyerere, Daraja la Kigamboni, Daraja la Kigongo busisi, barabara ya njia nane, Daraja la Kikwete kule mto maragalasi ,na ndege za ATCL.
Miradi yote hii ambayo imegeuka ya kujivunia kwa nchi yetu imeanzishwa na kutekelezwa na aliyekuwa rais wa tano hayati Magufuli. Je maadhimisho haya ya miaka 60 yangekuwaje bila Magufuli kutia mkono wa uongozi wake?
View attachment 2038467View attachment 2038468
Majadiliano haya yanaenda sambamba na kuonyeshwa kwa picha za miradi mikubwa iliyotekelezwa na nchi ndani ya hii miaka 60 , kwa kweli picha zinazovutia zaidi kuangalia ni flyovers, SGR, bwawa la umeme la Nyerere, Daraja la Kigamboni, Daraja la Kigongo busisi, barabara ya njia nane, Daraja la Kikwete kule mto maragalasi ,na ndege za ATCL.
Miradi yote hii ambayo imegeuka ya kujivunia kwa nchi yetu imeanzishwa na kutekelezwa na aliyekuwa rais wa tano hayati Magufuli. Je maadhimisho haya ya miaka 60 yangekuwaje bila Magufuli kutia mkono wa uongozi wake?
View attachment 2038467View attachment 2038468