kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,987
- 17,861
Mtakuja na nyuzi zenu za kusifu serikali na kupiga matarumbeta but ukweli ni kuwa hii nchi under ccm ni good for nothing
Hebu imagine miaka 60 ya uhuru hadi leo maji tu bado ni shida.
Miaka 60 ni mtu anazaliwa hadi mzee hivi CCM mna jipya gani?
Ni aibu kwa taifa hili hadi leo kuna kero ya maji miaka 60 hii.
Miaka 60 ukiwauliza wamefanya nini hawana majibu.
Ifike mahali tu watanzania tukubaliane kwamba ccm nchi imewashinda suala la kumaliza tatizo la maji ni suala la miaka 5 tu sio suala la miaka 60 hadi leo ni aibu tupu.
Amini nawaambia tutasheherekea miaka 100 ya uhuru tukiwa na shida hizi hizi tu na wimbo huu huu ya utegemezi na shida za maji
Ni aibu aibu aibu kwa nchi.
Ifike mahali miaka 60 tuone imetosha tuwape hii nchi mabeberu yote tu kwa mkataba kwamba wataleta maji, umeme, elimu, afya na barabara jumla kwa asilimia 100 tujue mchezo umekwisha kuliko kuendelea na mambo ya ajabu ajabu tu huku tukiwa palepale tu wakati kiyama kinakaribia mnataka kiama kije kikute nchi zetu na wimbo huu huu?
Bora tuwape wageni hii nchi tu kwa mkataba wa pasu kwa pasu ili hata tufike mbali kama kina korea ya kusini, singapore etc walau tufurahie kwa vichache huku kwa muda unavyokwenda nisemeje sasa?maana hakuna tumaini chini ya maccm ni bora hii nchi kuwapa wageni tu maana waafrica wa CCM wameshindwa na kutoka madarakani hawataki.
Hebu imagine miaka 60 ya uhuru hadi leo maji tu bado ni shida.
Miaka 60 ni mtu anazaliwa hadi mzee hivi CCM mna jipya gani?
Ni aibu kwa taifa hili hadi leo kuna kero ya maji miaka 60 hii.
Miaka 60 ukiwauliza wamefanya nini hawana majibu.
Ifike mahali tu watanzania tukubaliane kwamba ccm nchi imewashinda suala la kumaliza tatizo la maji ni suala la miaka 5 tu sio suala la miaka 60 hadi leo ni aibu tupu.
Amini nawaambia tutasheherekea miaka 100 ya uhuru tukiwa na shida hizi hizi tu na wimbo huu huu ya utegemezi na shida za maji
Ni aibu aibu aibu kwa nchi.
Ifike mahali miaka 60 tuone imetosha tuwape hii nchi mabeberu yote tu kwa mkataba kwamba wataleta maji, umeme, elimu, afya na barabara jumla kwa asilimia 100 tujue mchezo umekwisha kuliko kuendelea na mambo ya ajabu ajabu tu huku tukiwa palepale tu wakati kiyama kinakaribia mnataka kiama kije kikute nchi zetu na wimbo huu huu?
Bora tuwape wageni hii nchi tu kwa mkataba wa pasu kwa pasu ili hata tufike mbali kama kina korea ya kusini, singapore etc walau tufurahie kwa vichache huku kwa muda unavyokwenda nisemeje sasa?maana hakuna tumaini chini ya maccm ni bora hii nchi kuwapa wageni tu maana waafrica wa CCM wameshindwa na kutoka madarakani hawataki.