Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,068
Hii ni shule ya Msingi Manda iliyopo jimbo la Mtera, Wilaya ya Chamwino katika Jiji la Dodoma
Mungu ibariki Tanganyika
Mungu ibariki Tanganyika
Kwenye jimbo la Kibajaji na aliyekuwa WAZIRI MKUU for years Yaani jimbo ambalo halijawahi ongozwa na upinzani
Ndio maana Lusinde ana pata kura. Huwezi kuamini haya mambo bado yako Tanzania.. Halafu mtu ana simama bungeni ana pinga mawazo mbadala..Hii ni shule ya Msingi Manda iliyopo jimbo la Mtera , Wilaya ya Chamwino katika Jiji la Dodoma
View attachment 1972870
Mungu ibariki Tanganyika
Tunatayarisha mapolisi wa kesho wa kubambakizia watu kesi ,kutesa na kulinda mabenki na makazi ya wakubwa.Hii ni shule ya Msingi Manda iliyopo jimbo la Mtera , Wilaya ya Chamwino katika Jiji la Dodoma
View attachment 1972870
Mungu ibariki Tanganyika
Jimbo la Lusinde Joseph Livingstone, elimu yake darasa la saba na cheti cha uongozi kutoka chuo cha ccm cha Ihemi.Hii ni shule ya Msingi Manda iliyopo jimbo la Mtera , Wilaya ya Chamwino katika Jiji la Dodoma
View attachment 1972870
Mungu ibariki Tanganyika
Ila tambua nao ni watu kama wewe na maumivu watakayoyapata nawewe utayapataMiaka 60 ya uhuru.. MaCCM yote yanastahili kupigwa moto yakiwa hai.
CCM = Chama Cha MAFISADI
Tanzania umasikini unaletwa na katiba mbovu, inayo waweka viongozi na hakuna mfumo wa kuwawajibisha wakisha ingia madarakani. Ni mwendawazimu pekee yake atakae kubaliana na matumizi mabovu ya fedha za umma, eg misafara ya magari mengi kwenye safari za viongozi, matengenezo ya nyumba za viongozi kila mwaka, misururu ya makada wa CCM safari za nje za raid na mengine mengi, na kuliona la watoto kukaa chini halina mashiko.Hii ni shule ya Msingi Manda iliyopo jimbo la Mtera, Wilaya ya Chamwino katika Jiji la Dodoma
View attachment 1972870
Mungu ibariki Tanganyika
Mipambavu ya huko inaona kijani tu, hapo wakiambiwa Tanzania ni nchi tajiri, wanaviiiiiimba, wanasahau kuwa hata matumbo yao wameshibishwa na wali wa hongo wa kampeniHii ni shule ya Msingi Manda iliyopo jimbo la Mtera, Wilaya ya Chamwino katika Jiji la Dodoma
View attachment 1972870
Mungu ibariki Tanganyika
Ndani ya miezi tisa, haya yatakuwa ndoto mkuuHii ni shule ya Msingi Manda iliyopo jimbo la Mtera, Wilaya ya Chamwino katika Jiji la Dodoma
View attachment 1972870
Mungu ibariki Tanganyika
Wana vuna walicho panda. Kazi ya mbunge ni kuhamasisha maendeleo, na Tanzania wabunge wanapewa 20m kuziba mapengo ambapo budget inapwaya. Kibajaji anawajibu wa kurudisha pesa zote za mfuko wa jimbo. Miaka 60! huu ni ujinga usio kipimo.Kazi ya mbunge wenu Kibajaji ni kupiga makofi bungeni na kelele za ndiooooooo, lakini simlaumu sana, lawama ziwaendee wapiga kula wake. walitegemea drop-out la darasa la saba liwasaidie nini?
Mshahara wa rais wa mwezi 1(ameshindwa kuwaaminisha wateule wake), na bunge lote wanyimwe posho ya siku 7 zipelekwe kwenye jimbo hilo. Hiyo picha inaweza kuwa pambio, muziki haujapigwa. Ni shule nyingi zitakuwa na sura zaidi ya hiyo.Nini kifanyike?