Tuseme ukweli ni aibu kwa chama kilichotawala miaka takribani 60 bado kinakuja na ahadi za umeme, maji, huduma za afya, na barabara.
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kupeleka huduma ya kueleweka ya maji vijijini na mijini.
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kusambaza umeme mijini na vijijijni
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kujenga vituo vya afya kwa kila kata mijini na vijijini
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini zinapitika misimu yote
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuondoa maadui watatu: ujinga, maradhi, na umaskini.
Yaani miaka 60 serikali ya CCM inafanya ufisadi tu hakuna maendeleo na ustawi wa wananchi.
CCM oneni aibu, mnajifedhehesha sana na huyo Beberu wenu mweusi
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kupeleka huduma ya kueleweka ya maji vijijini na mijini.
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kusambaza umeme mijini na vijijijni
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kujenga vituo vya afya kwa kila kata mijini na vijijini
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini zinapitika misimu yote
Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuondoa maadui watatu: ujinga, maradhi, na umaskini.
Yaani miaka 60 serikali ya CCM inafanya ufisadi tu hakuna maendeleo na ustawi wa wananchi.
CCM oneni aibu, mnajifedhehesha sana na huyo Beberu wenu mweusi