Miaka 60 ya uhuru CCM bado inaahidi maji, umeme, barabara, na vituo vya afya

*TANGAZO*
Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana tarehe 1/10/2020 amesitisha tozo kwa wajawazito wanaoshindwa kufuata taratibu zilizoweka za masuala yahusuyo Afya ya Uzazi ikiwemo kuchelewa kuwahi kliniki n.k.

Hivyo mnatakiwa kuachana na sheria hizo ndogondogo mlizojiwekea ngazi za vijiji na kata mpaka hapo mtakapopokea maelekezo mengine.

Barua rasmi inakuja.

*DMO MUFINDI DC*
Ni aibu, bora mkoloni na corona kuliko mabeberu meusi
 
Ndio na itaendelea kuahidi population inaongezeka kila Siku na makazi mapya huanzishwa kila siku huduma hizo hutakiwa

Mleta mada akili huna
Instagram media - CF05xnJJeOc ( 640 X 640 ).jpg
 
*TANGAZO*
Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana tarehe 1/10/2020 amesitisha tozo kwa wajawazito wanaoshindwa kufuata taratibu zilizoweka za masuala yahusuyo Afya ya Uzazi ikiwemo kuchelewa kuwahi kliniki n.k.

Hivyo mnatakiwa kuachana na sheria hizo ndogondogo mlizojiwekea ngazi za vijiji na kata mpaka hapo mtakapopokea maelekezo mengine.

Barua rasmi inakuja.

*DMO MUFINDI DC*
😆😆😆😆
 
Tuseme ukweli ni aibu kwa chama kilichotawala miaka takribani 60 bado kinakuja na ahadi za umeme, maji, huduma za afya, na barabara.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kupeleka huduma ya kueleweka ya maji vijijini na mijini.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kusambaza umeme mijini na vijijijni

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kujenga vituo vya afya kwa kila kata mijini na vijijini

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini zinapitika misimu yote

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuondoa maadui watatu: ujinga, maradhi, na umaskini.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM inafanya ufisadi tu hakuna maendeleo na ustawi wa wananchi.


CCM oneni aibu, mnajifedhehesha sana na huyo Beberu wenu mweusi
Heri wao, na nchi na rasilimali tunazo. Chadema mgeuza kila kitu kwa mabwana zenu.
 
Tuseme ukweli ni aibu kwa chama kilichotawala miaka takribani 60 bado kinakuja na ahadi za umeme, maji, huduma za afya, na barabara.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kupeleka huduma ya kueleweka ya maji vijijini na mijini.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kusambaza umeme mijini na vijijijni

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kujenga vituo vya afya kwa kila kata mijini na vijijini

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini zinapitika misimu yote

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuondoa maadui watatu: ujinga, maradhi, na umaskini.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM inafanya ufisadi tu hakuna maendeleo na ustawi wa wananchi.


CCM oneni aibu, mnajifedhehesha sana na huyo Beberu wenu mweusi



Ukiona rahisi kujenga nchi waulize Chadema imekuwaje miaka 20 kwanini wameshindwa kujenga ofisi ya makao makuu wamepanga uchochoroni wakizidiwa na CUF na ACT
 
Heri wao, na nchi na rasilimali tunazo. Chadema mgeuza kila kitu kwa mabwana zenu.
Punguani kweli wewe, rasilimali gani zilizobaki ambazo hazijafisadiwa na Mabeberu wenzenu kwa kushirikiana na Mabeberu weusi wakiongozwa na Beberu wa Chattle
 
Baada ya miaka 60 sasa sera yao kubwa ni kutubagua watanzania kwa sababu ya tofauti zetu kiitikadi.

Msipo ichagua CCM hatuwaletei Maji.

Msipoi chagua CCM hatuwajengei Barabara .

Na muache kutujengea hizo barabara na kodi msitudai.

Yaani baada ya miaka 60 ya uhuru CCM kinaanza sera za kutubagua, ,chama kama hiki hakitufai , na Mgombea wake pia hafai kabisa.
 
Wanasema hata Roma haikujengwa kwa siku moja.

Jiulize ni nchi ngapi ambazo bado watu wake wanaishi mazingira magumu kwa kukosa maji,barabara,na huduma nyingine za kijamii kutokana na Umaskini wa nchi husika.

pia,kwanini kuna mataifa yanayotambuliwa kama dunia ya tatu kutokana na uchumi na maisha yao kwa ujumla.

Au ndio unahisi Tanzania chini ya serikali ya CCM ndio nchi pekee barani Africa baadhi ya watu wake hawana maji na Umeme hasa Vijijini??

Mbona mnakurupuka ndugu zangu.

Nchi zetu bado ni Maskini, kile kidogo kinachopatikana inabidi kigawanywe katika sekta zote ili mambo kote yaende..
Mfano; Ukisema uangalie idara ya maji pekee na kujikita katika usambazaji wa maji ambao hutumia pesa pia kuna idara nyingine zitakwama kwa kukosa pesa.

Taratibu tutafika tunapopataka na kuacha sera ya maji na kuanza kujikita kwenye teknolojia na vitu vingine ambavyo vitatufaa kwa wakati huo.

Huruma pia isizidi uwezo.
 
Nilitegemea miaka 60 ya uhuru

Tungekuwa tunaongelea Bima za afya kwa kila mtanzania, Elimu ya msingi angalau iwe kidato Cha nne..

Mapinduzi ya kilimo Cha umwagiliaji na mapinduzi ya viwanda angalau kila kata iwe na kiwanda kikuwa Cha umma.

Miaka 60 ya Uhuru tulitakiwa kuwa ndani ya nchi 5 tajiri Africa

Tulitakiwa kuwa kitovu Cha uchumi Africa mashariki kuliko Kenya maana wao hawana rasilimali Kama tulizo nazo sisi.

Miaka 50 ya Uhuru tulitakiwa kuwa katika uchumi wa kuwalipa wazee wote wenye miaka 70+ posho hadi kufa kwao.
Tatizo la hii nchi ni kuendelea kukumbatia hiki chama kilichoshindwa.

Bila kupiga chini ccm na mambo yake yote na vibaraka wake, maendeleo tutayasikia kwa wengine tu
 
Baada ya miaka 60 sasa sera yao kubwa ni kutubagua watanzania kwa sababu ya tofauti zetu kiitikadi.

Msipo ichagua CCM hatuwaletei Maji.

Msipoi chagua CCM hatuwajengei Barabara .

Na muache kutujengea hizo barabara na kodi msitudai.

Yaani baada ya miaka 60 ya uhuru CCM kinaanza sera za kutubagua, ,chama kama hiki hakitufai , na Mgombea wake pia hafai kabisa.
Tatizo sio mtanzania. Anatuletea ubaguzi wa itikadi na makabila. Huyu hafai kuwa hata balozi wa nyumba 10
 
Wanasema hata Roma haikujengwa kwa siku moja.

Jiulize ni nchi ngapi ambazo bado watu wake wanaishi mazingira magumu kwa kukosa maji,barabara,na huduma nyingine za kijamii kutokana na Umaskini wa nchi husika.

pia,kwanini kuna mataifa yanayotambuliwa kama dunia ya tatu kutokana na uchumi na maisha yao kwa ujumla.

Au ndio unahisi Tanzania chini ya serikali ya CCM ndio nchi pekee barani Africa baadhi ya watu wake hawana maji na Umeme hasa Vijijini??

Mbona mnakurupuka ndugu zangu.

Nchi zetu bado ni Maskini, kile kidogo kinachopatikana inabidi kigawanywe katika sekta zote ili mambo kote yaende..
Mfano; Ukisema uangalie idara ya maji pekee na kujikita katika usambazaji wa maji ambao hutumia pesa pia kuna idara nyingine zitakwama kwa kukosa pesa.

Taratibu tutafika tunapopataka na kuacha sera ya maji na kuanza kujikita kwenye teknolojia na vitu vingine ambavyo vitatufaa kwa wakati huo.

Huruma pia isizidi uwezo.
Kwa hiyo hicho kidogo unachokipata unaenda kununua ndege unaacha kusambaza maji. Mna akili kweli ninyi?
 
Ndio na itaendelea kuahidi population inaongezeka kila Siku na makazi mapya huanzishwa kila siku huduma hizo hutakiwa

Mleta mada akili huna
Mmmh sasa kama unajua kuna population kwanini planning zisiwe za miaka 50-100 mbele. Ndio kama morogoro mjini plan za mabomba ilikua ya kutosha watu elfu 50 utafikiri hao watu hawatozaliana
 
Tuseme ukweli ni aibu kwa chama kilichotawala miaka takribani 60 bado kinakuja na ahadi za umeme, maji, huduma za afya, na barabara.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kupeleka huduma ya kueleweka ya maji vijijini na mijini.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kusambaza umeme mijini na vijijijni

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kujenga vituo vya afya kwa kila kata mijini na vijijini

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini zinapitika misimu yote

Yaani miaka 60 serikali ya CCM imeshindwa kuondoa maadui watatu: ujinga, maradhi, na umaskini.

Yaani miaka 60 serikali ya CCM inafanya ufisadi tu hakuna maendeleo na ustawi wa wananchi.


CCM oneni aibu, mnajifedhehesha sana na huyo Beberu wenu mweusi
28.10.2020
 
Back
Top Bottom