Mkuu, sipo busy sana ila sipendi mabishano yasiyo na faida kwangu. Mabishano ya hovyo ambazo sijifunzi chochote.Dah kwahyo unataka kutuaminisha wewe uko bize kiasi hicho?
ukibishana wewe Sisi tunajifunza kitu mkuu...usitufanyie ivoMkuu, sipo busy sana ila sipendi mabishano yasiyo na faida kwangu. Mabishano ya hovyo ambazo sijifunzi chochote.
Mkuu, watu hujifunza kupitia mijadala na sio mabishano na vitoto vidogo kama huyo jamaa.ukibishana wewe Sisi tunajifunza kitu mkuu...usitufanyie ivo
Hivi mtu ukimuignore...hata post zako hazioni? kwamfano nikikuquote hapa yeye haoni?Mkuu, watu hujifunza kupitia mijadala na sio mabishano na vitoto vidogo kama huyo jamaa.
Ndio mkuu. Ukimu-ignore mtu hauoni chochote alichokiandika. Hata huyo dogo sioni ameandika nini humu.Hivi mtu ukimuignore...hata post zako hazioni? kwamfano nikikuquote hapa yeye haoni?
yeye anaona unachoandika wewe?Ndio mkuu. Ukimu-ignore mtu hauoni chochote alichokiandika. Hata huyo dogo sioni ameandika nini humu.
Yes, yeye ataona mpaka anii-ignore upande wake.yeye anaona unachoandika wewe?
Ko akikuquote huoni?Yes, yeye ataona mpaka anii-ignore upande wake.
Sioni chochote kuhusu mtu niliyemu-ignoreKo akikuquote huoni?
Hahaaa huyu nae kaandika kitu.Wakoloni walikaa Afrika miaka 400 waliacha nini?
Wakoloni walikaa Afrika miaka 400 waliacha nini?
Had Vietnam wanakuja kuwekeza kwetu.(Halotel).Aisee tumechelewa sana.Thailand, Singapore,Korea vinchi vilikuwa masikini wa kutupa hata kandambili tu kuvaa ilikuwa shida Leo tunavaa mitumba yao.Tunashindwa kujimudu hata nguo, tunavaa mitumba, inasikitisga sana.Miaka 59 sio 'overnight', pia hakuna mtu anayesema tunapaswa kuwa tumetatua changamoto zote, mleta mada ameainisha vitu fulani basic kwa nchi yenye umri kama wetu.
Nipo bush mkuu 10 years.Yani watu wa vijijini hupiga kura kama kasumba, af hutishiwa na wenyeviti wa vijiji kuwa wasipoenda watakiona.Watu wa vijijini wamenyiwwa elimu hivyo IQ yao wengi ipo chini, jioni hukusanyika vilabuni kunywa na kuwa unconscious hivyo huzidi kudumaza akili.Kiangazi hukusnyika kwenye ngoma na kuishughulisha akili na ngoma.CCM wanajua, watanzania wengi hazimo. Waelewa tupo wachache, nasie waelewa hatupigi kura. Wanaopiga kura wengi ni waaiojielewa ndo mtaji wa ccm.
Mkuu usiseme umewaza kwa akili ya kawaida. Sijui hawa wanaozisikia ahadi kama "nitatengeneza barabara hii kwa kiwango cha lami, msiponiletea mbunge na diwani toka ccm sitawaletea maji"" alafu wanashangilia sijui wamekogwa ama?Wakuu,
Nchi inakaribia miaka 60 ya uhuru yaani TAA Na TANU zilihubiri maji, barabara na madawati, na CCM nayo bado wanazunguka kutuhubiria hayohayo mambo ya maji, barabara naamini kama sio watanzania tuna matatizo sehemu basi, maana hata mwanamke ukiwa unampa ahadi za kufanana siku zote mwisho anakuona wewe muongo anaachana na wewe.
Nimejaribu kuwaza tu kwa akili ya kawaida.
akili yako ni ndogo sana imeshindwa kutupa mawazo mbadalaNimejaribu kuwaza tu kwa akili ya kawaida
Huyo hana logic yoyote, wewe hua unasoma zile nadharia zake za kufikirika?Hua nakuona una logic lakini leo nadhani uwezo wako kifikra umeishia hapo, naizungumzia Tanzania unaleta habari za marekani na uchina hii inaitwa “Null Variation”
Marekani ameingiaje hapa? Vijana wa Lumumba hua mnafikiri kama alivyowahi kusema meya wenu mmoja Dr. masabuli.Hata Marekabi na China bado kuna ombaomba.