Miaka 60 ya UDSM: Mafanikio, Changamoto & Funzo

Chuo hiki kikongwe nchini kinatimiza miaka 60 toka kuanzisha Nini changamoto,mafanikio na mafunzo kwa watawala, maprofesa na wanafunzi?
**Cha ajabu chuo hiki pendwa hii. Hakuna midahalo, Wala kumbukizi
**RIP Prof Luhanga.
Tuliosoma chuo hiki tulipata tabu sana. Kwa kiwango kikubwa tulisoma madesa. kwa kiwango kikubwa ilikuwa lazima tuhakikishe tunafaulu yale maswali ya madesa ili tusishindwe kupata degree.
Kama tulielimika kiasi gani, hilo ni swali kila mmoja wetu anajiuliza kule aliko. Nategemea sasa hivi, wanafunzi watafundishwa kujiandaa kupambana na changamoto zinazozunguka mazingira yao na kuzipatia ufumbuzi. Zile Ego za kupambana kuhakikisha ufaulu unakuwa mdogo au watu wanakariri madesa halafu wanasema ndio wasomi, zitakuwa zimeisha sasa.
Kusema kweli, usomi uambatane na vitendo sio vyeti vikubwa na maneno mengi mengi kama madebe matupu
 
Tusha-compromise na quality ya education nchini, sio kwa UDSM peke yake ni vyuo vyote vya kati na juu
 
Elimu feki imetuletea siasa mbovu,imezalisha wasomi wasiofikiri kwa mantiki,wabinafsi wakubwa na watu wasiojielewa.Ndio maana wafuasi wa mange wengi ni wasomi wa vyuo hasa wasichana.
Wanaume wengi wasomi machawa wa viongozi
 
Elimu feki imetuletea siasa mbovu,imezalisha wasomi wasiofikiri kwa mantiki,wabinafsi wakubwa na watu wasiojielewa.Ndio maana wafuasi wa mange wengi ni wasomi wa vyuo hasa wasichana.
Wanaume wengi wasomi machawa wa viongozi
Hapo TEKU mmezalisha wanaofikiri?
 
Chuo hiki kikongwe nchini kinatimiza miaka 60 toka kuanzisha Nini changamoto,mafanikio na mafunzo kwa watawala, maprofesa na wanafunzi?
**Cha ajabu chuo hiki pendwa hii. Hakuna midahalo, Wala kumbukizi
**RIP Prof Luhanga.
Sehemu mojawapo ya mafanikio na kumbukizi ya UDSM ni uvumbuzi wa "vimbweta"
Screenshot_20221022-171753.jpg
 
Us
Yaani kusema kweli mimi sijasoma UDSM ila hiki chuo ukitaka kujua ni kituko kutana na mtu kasoma bachelor of computer mwambie akuoneshe hard disc auq mwambie akufafanulie computer practically au kasoma mechanical engineering muulize chochete practically ndo utashangaa maajabu kuwa pale watu wanaenda kukua ili waje wachukue vyeo na kusaini mikataba na document bila kusoma ndo maana hata TANESCO mpaka leo hakuna la maana pale ujinga tu! Product za vyuo vyetu ikiwemo UDSM.
Kama hujasoma Udsm usilete chuki zako binafsi kusema kwama aliesoma bachelor ya computer engineering au science ukimuuliza hajui hard disc. Umeona wapi au umesikia wapi? Wasomi hatupo hivyo jenga hoja ya maana sio chuki zako binafsi kisa labda hukupata admission hapo au vyovyote vile
 
Back
Top Bottom