Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,800
- 8,781
Juzi tumefikisha miaka 60 ya Uhuru lakini hali bado inasikitisha sana. Serikali inaendelea na ujenzi wa madarasa ya shule za awali na sekondari. Nadhani ni kipindi sasa serikali inabidi igeukia elimu za ufundi kilimo na ufugaji.
Kila mwaka nchi inalia na upungufu wa madarasa sasa unajiuliza hao wanaomaliza hawatoi nafasi kwa wengine kuingia kwa kutumia madarasa hayo hayo.
Hizi pesa za UVIKO bora zingeelekezwa kutoa elimu ya ufundi kilimo na ufugaji kuliko haya madarasa ya awali ambayo kwa elimu ya sasa yanatoa fursa chache kwa Watanzania kujiajiri.
Kila mwaka nchi inalia na upungufu wa madarasa sasa unajiuliza hao wanaomaliza hawatoi nafasi kwa wengine kuingia kwa kutumia madarasa hayo hayo.
Hizi pesa za UVIKO bora zingeelekezwa kutoa elimu ya ufundi kilimo na ufugaji kuliko haya madarasa ya awali ambayo kwa elimu ya sasa yanatoa fursa chache kwa Watanzania kujiajiri.