Miaka 6 ya Hayati Magufuli mshahara uleule, miezi 3 ya Rais Samia Suluhu mshahara wangu umebadilika

Ni siri kali.
Utapewa tu hesabu juu juu ila kuhusu real number ya wafanyakazi inabaki kuwa siri ya SiRiKaLi
Wako wachache sana roughly laki nne mpaka Tano I stand to be corrected, sasa wanavyo exegarete sasa utafikir watanzania wote million 60 tumepata hiyo increment. Tena asipige kelele na tonge la mnofu mdomoni wengine tuna njaa kali.
 
Mimi natamani nimfate hayati hukohuko nikamcharaze fimbo... Mshahara wangu umeongezeka 321000, deni la bodi walikuwa wananikata 288000 limeisha baada ya kuondolewa retention fee, take home yangu ilikuwa 430000 sasa nimepata ongezeko la laki6. Hivyo take home nina zaidi ya M1.. yule mwamba kachelewesha maisha yetu
 
Mimi natamani nimfate hayati hukohuko nikamcharaze fimbo... Mshahara wangu umeongezeka 321000, deni la bodi walikuwa wananikata 288000 limeisha baada ya kuondolewa retention fee, take home yangu ilikuwa 430000 sasa nimepata ongezeko la laki6. Hivyo take home nina zaidi ya M1.. yule mwamba kachelewesha maisha yetu
Good
 
Habari,

Ndani ya miaka 6 ya Magufuli niliambulia annual increment moja tu ya November 2017, ambacho ni kiasi kidogo sana.

Kwa ufupi mshahara haujaongezeka katika kipindi chote hicho.

Miezi 3 tu ya Rais Samia Suluhu salary slip yangu pale juu imebadilika.

Watu wa imani tunaamini kuwa mateso ni zao la uasi na Ibilisi bali Neema ni zao la haki na Mungu.

Hivyo basi huhitaji kuombewa ili upate kujua kati ya Rais Samia Suluhu na Rais Magufuli ni nani chaguo la Mungu na ni nani chaguo la shetani kwa watumishi wa umma.

Sizungumzii kwa wananchi, wafanyabiashara, wakulima au kundi jingine lolote, nazungumzia kwa watumishi wa umma.
Apumzike kwa amani shujaa.
 
Mimi natamani nimfate hayati hukohuko nikamcharaze fimbo... Mshahara wangu umeongezeka 321000, deni la bodi walikuwa wananikata 288000 limeisha baada ya kuondolewa retention fee, take home yangu ilikuwa 430000 sasa nimepata ongezeko la laki6. Hivyo take home nina zaidi ya M1.. yule mwamba kachelewesha maisha yetu
Shujaa alipania kutukomoa
 
Hiyo ni dhana mfu.

Magufuli aliingia madarakani cement mfuko elfu 10 kafa hajaongeza mshahara lakini cement ilipanda bei tayari.

Nondo, misumari, bati, na material yote ya ujenzi yalikwishapanda bei mara dufu hata kabla ya mshahara kuongezeka.

Sasa vikiongezeka ndio iwe sababu kwakuwa salary ya baadhi yetu imepanda?

Ngoja nikakope nifungue kanisa.
Umemjibu vyema
 
Kila nikumkumbuka namwita weita !!! Alikua ananuchosha sana huyu jamaa hata TV za local niliacha kutizama
IMG_20210604_171944.jpg
 
Back
Top Bottom