D dos.2020 JF-Expert Member Feb 17, 2009 9,523 7,836 Dec 10, 2021 #1 leo ni maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Zanzibar uliopatikana tarehe 10 December 1963. Hivi CCM wanafaidika na nini kuendelea kuhubiri uwongo na kutokubali kuutambua? Happy Independence Day
leo ni maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Zanzibar uliopatikana tarehe 10 December 1963. Hivi CCM wanafaidika na nini kuendelea kuhubiri uwongo na kutokubali kuutambua? Happy Independence Day
Jagina JF-Expert Member Jan 29, 2019 5,673 2,349 Dec 10, 2021 #2 CCM wamelaanika ,damu walioimwaga ni nyingi
D dos.2020 JF-Expert Member Feb 17, 2009 9,523 7,836 Dec 11, 2021 Thread starter #3 Jagina said: CCM wamelaanika ,damu walioimwaga ni nyingi Click to expand... kabisa yani