figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kesho Aprili 26 itakuwa siku ya mapumziko kitaifa na sherehe za sikukuu ya Muungano hazitakuwepo hivyo Sh 988 milioni zilizotakiwa kutumika zitapangiwa matumizi mengine