Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Baada ya miaka 50 ya uhuru je tumefanikiwa katika yale malengo ya uhuru ya kuondoa maadui watatu ujinga maradhi na umaskini ????, Je watoto wetu wanapata elimu bora ?
Je tumeondoa adui maradhi ?
Je tumeondoa umaskini ama ndio umezidi ?
Hebu toa maoni yako kabla ya dec 2011?
Je tumeondoa adui maradhi ?
Je tumeondoa umaskini ama ndio umezidi ?
Hebu toa maoni yako kabla ya dec 2011?