Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Tunaposherekea miaka hamsini ya Uhuru na uwepo wetu kama taifa nina maswali machache ambayo ningependa wasikilizaji wangu wajiulize. Je tunayo sababu kweli ya kuadhimisha? Tunaadhimisha miaka kupita, tunaadhimisha mafanikio ya serikali au tunaadhimisha nini hasa?
Last edited by a moderator: