Miaka 50 ya uhuru na ma-first ladies wanne!

GAGAGIGIKOKO

Senior Member
Jul 31, 2011
125
16
Umuofia kwenu wana jf popote pale mlipo!! Najua miaka hamsini ya uhuru si mda haba,kwa maisha ya kuunga unga kama ya kwetu ya kitanzania bila shaka ni umri wa kuitwa kikongwe!!?Yapo mengi ya kutafakari lakini tunapokuwa tunayajadili yote yaliyofanywa na wakuu wetu wa kaya ktk awamu zote nne si dhambi tukijuzana pia wasifu na michango ya wake za maraisi wetu ktk ujenzi wa taifa letu kama njia ya kuwaenzi.Maana inasemekana kuwa kwa kila mafanikio ya mwanaume na mwanamke yuko nyuma yake!!?Naomba kuwasilisha
 
Umuofia kwenu wana jf popote pale mlipo!! Najua miaka hamsini ya uhuru si mda haba,kwa maisha ya kuunga unga kama ya kwetu ya kitanzania bila shaka ni umri wa kuitwa kikongwe!!?Yapo mengi ya kutafakari lakini tunapokuwa tunayajadili yote yaliyofanywa na wakuu wetu wa kaya ktk awamu zote nne si dhambi tukijuzana pia wasifu na michango ya wake za maraisi wetu ktk ujenzi wa taifa letu kama njia ya kuwaenzi.Maana inasemekana kuwa kwa kila mafanikio ya mwanaume na mwanamke yuko nyuma yake!!?Naomba kuwasilisha
kwa vile sijaona mafanikio ya hao wanaume katika taifa letu na hata hapa sina uhakika wa kupata dinner sioni cha kujadili.
 
Labda tujuzane kwanza wasifu wa hawa mapacha wanne kwanza(ma-first ladies ) wapi walikotoka,michango yao ktk jamii ya kitanzania na jinsi walivyozitumia nafasi zao kama wake wa wakuu wa kaya.
 
Umuofia kwenu wana jf popote pale mlipo!! Najua miaka hamsini ya uhuru si mda haba,kwa maisha ya kuunga unga kama ya kwetu ya kitanzania bila shaka ni umri wa kuitwa kikongwe!!?Yapo mengi ya kutafakari lakini tunapokuwa tunayajadili yote yaliyofanywa na wakuu wetu wa kaya ktk awamu zote nne si dhambi tukijuzana pia wasifu na michango ya wake za maraisi wetu ktk ujenzi wa taifa letu kama njia ya kuwaenzi.Maana inasemekana kuwa kwa kila mafanikio ya mwanaume na mwanamke yuko nyuma yake!!?Naomba kuwasilisha
mkuu umekosea, mkwereee ana wake zaidi ya mmoja so kwa hawamu hii tuna mafirst lady zaidi ya mmoja.
 
<br />
kwa vile sijaona mafanikio ya hao wanaume katika taifa letu na hata hapa sina uhakika wa kupata dinner sioni cha kujadili.
<br />
<br />
weka account yako hapa jukwaani umwagiwe mafaranga ule dinner mpaka uvimbiwe.!
 
Kwa mtazamo wangu nadhani first lady wa tatu na wa nne wamejitahidi sana wanastahili pongezi
 
Umuofia kwenu wana jf popote pale mlipo!! Najua miaka hamsini ya uhuru si mda haba,kwa maisha ya kuunga unga kama ya kwetu ya kitanzania bila shaka ni umri wa kuitwa kikongwe!!?Yapo mengi ya kutafakari lakini tunapokuwa tunayajadili yote yaliyofanywa na wakuu wetu wa kaya ktk awamu zote nne si dhambi tukijuzana pia wasifu na michango ya wake za maraisi wetu ktk ujenzi wa taifa letu kama njia ya kuwaenzi.Maana inasemekana kuwa kwa kila mafanikio ya mwanaume na mwanamke yuko nyuma yake!!?Naomba kuwasilisha
<br />
<br />
ndugu yangu wewe kweli hujui hesabu au huna taarifa.! Hao wanne Jk peke yake anatimiza..
 
Back
Top Bottom