eumb
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 149
- 70
Juzi ndugu yangu alipata ajali ya Pikipiki huko Kigamboni, akapelekwa Hospitali ya Vijibweni, huko wakamhamishia Temeke hospital, alipofikishwa Temeke na Ambulance hapakuwa na jipya zaidi ya kumpleka kwenye wodi iliyofurika kupindukia, wagonjwa wakiwa wamelala wawili wawili huku nesi mmoja mwenye kauli mbaya hana hata muda wa kuangalia faili lake, alipata huduma baada ya masaa kumi, then ndio akahamishiwa Muhimbi tena kwa mbinde