Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
Watetezi wa Malima kwa Unafiki siwawezi hadi leo hamkubali kuwa kutumia namba kwenye mitihani ni utaratibu uliokuwepo kabla malima hajawa waziri? Kweli nyie vichwa panzi
Yaani hawa watu ni wa ajabu sana,wakishajazwa ujinga na mapunguani wenzao hawataki kufanya utafiti ili waijue kweli, wao watabaki kung'ang'ania upuuzi usio na msingi, suala hili namba/majina lilishafafanuliwa toka zamani kwa ushahidi ulio wazi kuwa matumizi ya namba badala ya majina yalianza kitambo kabla hata huyo marehemu MDINI malima hajawa waziri wa elimu!
Kusema kweli genge la watu hawa linakera sana, hawana hoja za maana za kujenga taifa bali kuwagawa wananchi kwa misingi ya imani. katika moja ya hotuba zake Kikwete alishawahi sema "kuna watu wanatamani nchi hii iwe ya kikristo na wengine wanatamani sana nchi hii iwe ya kiislam na akasema jambo hilo haliwezekani na mtu akijaribu kulazimisha itatokea vita ambayo mshindi hatopatikana", kwa hiyo wapumbavu wote wenye mawazo mgando kama hayo waache mara moja na tushirikiane katika kujenga taifa letu, tunajikita kwenye mambo yasiyo na msingi, tunatumia bongo na akili zetu kujadili mambo ya kijinga yasiyo na tija badala ya kujadili mambo ya maana na yenye manufaa kwa taifa letu na matokeo yake nchi ndogo na zilizokuwa na matatizo kama Rwanda n.k zinatupita kiuchumi kwa kuwa wamejua nini maana ya umoja na mshikamano bila kujali tofauti zao!